ukitumwa wakati mwikngine ni vema ukajua anayekutuma ana malengo gani na wewe #faizafox aliyekutuma alitaka kuona kiasi cha upumbavu ulichonacho kichwani. sihani kama umesoma hayo mataputapu uliyopost...................
boya wa mvomero..........muulizeni huyo boya kama alishawahi kufika mongwe, yowe, omboza chowelo n a maeneo ya jirani na hayo..........matokeo owden is still aive makala tafuta chaka mapema chadema tunakuja
katika hali isiyokuwa ya kawaida ndani ya chadema tayari amajitokeza mtia nia katika jimbo la mvomero kupitia chadema(mch oswald mbaula).akitumia approach ambayo tumeizoea kuiona upande wa pili kwa magamba. mbaula akimtumia katibu wa wilaya mvomero ndg Mrisho kuratibu zoezi la yeye kujipigia...
Mwigulu na upumbavu wake jamani aachwe nashkuru kuona namna ulivyofikiri. Ninachojua hata vyuoni mmeanza kuwaambia wale mazezeta wa ccm kuwa wajiandikishe na majina yanaletwa kwako ili wakimaliza shule wewe utawasaidia kupata ajira kwani tayari yatakua utumishi ulivyo kilaza. Na wale vilaza kwa...
Ukishangaa ya musa utastaajabu ya....:p si ndio hao hao walimkataa nchimbi pale jangwani wanafki hawa tukisema baadi ya makanjanja wanalamika taaluma za kuunga unga nalo ni tatizo
Magamba mmetunyonya vya kutosha katika kila sekta kiakili tumeshakomaa. sasa endeleeni na propaganda nyanya tuone mwisho wenu mnajivunia hazina kubwa ya wajinga mnao wadanganya ila siku watakapo funguka akili mtakiona
Heshima kwenu wanajamvi. Kwa hali ilvyo nchini kwa sasa kila mty anachakuongea kuhusu matokeo ya kidato cha nne mengine ni kama tumeyaweka kapuni. Ki uhalisia taifa letu liko mahututi linateketea taratibu kama mshumaa huku watawala wakiendeleza propaganda zisizo na msingi. Leo waziri mwenye...
Wana jamvi heshima kwenu. Kesho hapa chuoni kwetu ni siku ya mwl Nyerere, atakuwepo mgeni mama Migiro. Nini maoni ya wadau nipeni hoja za kuwawakilisha ni wapi pa kumbana huyu mama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.