Naona wewe ni part ya ruge na hujui ni jinsi gani ruge anatumia nguvu ya ziada kumpotexa mutu ambaye anakunda kinyume naye/ ni bora tu awe fatuma maana nayy anakuwa kama hana kichwa usomi kazi bure;:banghead:
nadhani ujumbe umefika na umeeleweka wanachotakiwa kufanya ni kuendana na dunia inavyo taka wanachotakiwa kufanya ni kuhakikisha wanaweza kuendesha aisha yao bila kuwa tegemezi kea wanaume na hilo tazizo litaondikA
na haitatawalika kweli kweli maana wana nchi wameshachoshwa na mambo ya ccm sasa kama wakileta ufisadi wao kwenye uchaguzi wakashinda kimagumashi hakuna mtu atawaelewa...
Wacha na yeye afeel pain kama tunayofeel maskin ambao hatuna nyumba bora za kuishi labda atajifunza ki2l
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hawezi kabisa kuthubutu kufata nyayo za sugu maana anayaamini sana mawwazo ya ruge ndo maana hata siku moja hawezi kuwa kama alivyokuwa wakati akiwa mwana harakati wa kweli!!!!!!!!!!!
Sent from my hart
Matunda ya ruge katika jitiada zake za kuitokomeza HIP HOP lakini vijana wapo tutasimama daima HIP HOP 4ever!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hawa jamaa kama huna pesa hawakufanyii kazi ila kama hauna kitu lazima mkutane cortini maana kuna jamaa yangu huko singida aliomba rushwa ya buku4 amekula miaka3 au fayn laki5 ila kuna jamaa yangu mwingine alipigaga vijicent mpaka leo anapeta,
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Na hiyo ndo kweli achana na hao wanasema mara wameongwa na shoga. Cjui kaambiwa nanani sisi hatujali ata angekuwa nani tunachojali ni kupata chopper ili tuzidi kuwakandamiza magamba!
Via Bubu hutaka kusema mambo yanapomzidia
Elimu haiongozi watu wewe zezeta fikiri kabla utaachama domo lako tupo wenye std 7 lakini nchi inatuogopa kwa uwezo tulionao wa kupambanua!!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
kuna na ss wengine wa migodini tuna tatizo kama hilo unapo pata matatizo ya kiafya yanayotokana na kazi unayo fanya unatibiwa kidogo tu ikishindikana kupona ndani ya miezi 6 basi kazi ndo hakuna na unaendelea kujitibisha mwenyewe sasa ebu chukulia labda mtu umeufua mgongo na matibabu ya mgongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.