wizi mtupu NGOs kama hzi zinatakiwa kufungiwa coz hazitoi takwimu zilizo wazi mfano. Ni kata zipi, wilaya gani n.k wao wametoa matokeo ya jumla ambapo ni upotoshaji na kudhalilisha wananchi wa kilimanjaro. Ijifunze kutoa taarifa
Acha uhuni wa kijinga kwadanganya umma, usichezee shilingi shimoni unaingilia mamlaka isiyokuhusu alafu anatangazia umma uongo kuwa nafasi zimetoka wakati Sheria ya jeshi kuna msemaji mkuu na nafasi zikitoka matangazo yanatumwa kila sehemu. Sasa wewe hebu tuambie hilo tangazo liko wapi, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.