Search results

  1. M

    Mh Rage ndani ya Tabora

    Hakuna mtu wa kumngoa rage tabora. Nadhani wanasiasa wa conservative union wanahitaji kutathmini madhara ya siasa za uongo na kupakaza chuki kama kweli ni mtaji wa kisiasa au ticketi ya kuondokea kwenye ulingo wa siasa. Tusubiri majibu ya serikali baada ya vigogo wa hiki chama kutajwa na wafanya...
  2. M

    Nasema sitashangaa kusikia CHADEMA na CUF kuhusika na fujo za Mtwara.

    Kama watanzania watapata mshituko na mshangao wa yale mapembe ambao Rais ameshatoa Amri kwa vyombo vyote vya dola kukata pembe lolote bila kujali basi katika siku chache hapana shaka nchi tatikisika ka mshangao. Kinara wa vurugu za mtwara ameonesha kutokuwa na wasiwasi kuwa yeye ni muajiriwa tu...
  3. M

    Mbowe: Tatizo la Mtwara linahitaji mazungumzo na sio nguvu za kijeshi

    Siamini kama freeman mbowe ana abc za administration. Hakuna mtu mvumilivu kama rais kikwete. Sidhani kama majeshi yanapokimbia kutuliza fujo tanzania wenzetu wapenda vurugu huwa wanafuatilia mazingira yanayopelekea haya mambo. Mheshimiwa mbowe utakumbuka wakati wa m4c chama chako kilifanya...
  4. M

    Amani na Usalama wa Tanzania uko kwa Watanzania wenyewe

    Kuna jambo linatukera watanzania. Watu kujifanya wanapigania maslahi ya watanzania eti mpaka kufa lakini ukiwaangalia na kufuatilia nyendo zao za pembeni ni wadau wakubwa na waratibu wa kila furugu uasi na maandamano nchini. Mungu atatunusuru kama tulipigana vita za angola msumbuji uganda hawa...
  5. M

    wasomi waonya hakuna mtaji wa siasa kupitia uvunjifu wa amani na kulaghai watu kudai gesi yao.

    Wasomi waiobobea nchini wakiongozwa na baadhi ya wahadhiri waandamizi leo hii wamekemea utoto uliopitiliza hivi sasa kwa baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kushiriki kikamilifu katika kila vurugu zinazifanywa kukaidi sheria zilizopo kuwa itakuwa ni kujidanganya kuwa hii inaweza kuwa ni njia...
  6. M

    Wananchi wafunga barabara asubuhi hii Arusha

    Ahaa nilidhani wanamlilia lema kumbe ni matatizo yao ok maana huyu rc wa arusha ni kiboko ya manunda
  7. M

    LEMA anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa faida ya nani?!

    Sasa tunachoshwa na kuchanganywa na wanasiasa wasio na mipaka. Wote tunafahamu unyeti wa vyuo vya elimu ya juu na hathari ya kuviingiza kwenye ushabiki wa siasa usio na sababu. Kama ningekuwa lema nikaitwa kweli hapo chuoni na wanafunzi basi nisingekubali kwenda mwenyewe bila kuandamana na mkuu...
  8. M

    Baada ya mahojiano: Makosa yaliyomnyima Lema dhamana ni haya, kwa mujibu wa Mwanasheria wake

    Chadema siasa imewashinda. Wanaulimbukeni wa madaraka, huwezi kushika nchi kwa nguvu ni watu ndio watakuchagua hivyo huna haja ya kutumia fedha kuhonga wahandishi eti waandike vibaya serikali na chama tawala, kutunga uhongo kila kukicha na kuwajaza upepo wa tanzania kutumia shida zao. Kweli time...
  9. M

    Godbless Lema atoa Tamko Kali - Mkuu wa Mkoa wa Arusha Atishia kumbambikizia kesi

    Tumesha sikia ya chadema mwananchi na ippmedia zao sasa watupe nafasi tusikie ya upande mwingine. Tumeishastukia dili la kujaribu kuhodhi habari na kuwa brain was watanzania kwa habari za kukipamba chama cha chadema na washirika wao wao. Ukweli utafahamika tuuu
  10. M

    Taarifa kwa umma mauaji ya mwanachuo wa Chuo cha Uhasibu Arusha

    Hapo ndo chadema inaonesha uchanga wa siasa. Haiingii akilini lema alifuata nini kwenye hiki chuo na mtu anayesoma elimu kubwa kama hapo hawezi kukimbilia kwa mbunge maana hakuna ufumbuzi ila kuendeleza siasa za maji taka. Ina maana ikitokea vurugu chuo kikuu leo mnyika kwa vile ni mbunge wa...
  11. M

    Wafadhili waambiwa walete pesa za maendeleo siyo za kuchochea vurugu afrika zinazoeneza umaskini

    Gwiji la uchumi na maendeleo duniani joe stiglitz amewatolea uvivu wafadhili wanao liangamiza bara la afrika kwa kisingizio cha demokrasia. Professor huyo aliyewahi kuwa mshauri wa uchumi wa rais bill clinton amesikitishwa sana na hali ilivyo nchini libya ambapo kwa mara ya kwanza katika...
  12. M

    Kwa nini wasomi wengi na watu wa dar-es-salaam hawajakbali upinzani?

    Kuna mtazamo kwa Dar-es-salaam wanaogopa mabadiliko na wanaogopa upinzani. Pia wengi wamekwenda mbali na kusema hata wasomi wengi Dar-es-salaam hawakubaliani na upinzani. Kuna viashiria vingi. Mfano wanasema mpiganaji hodari wa mageuzi alikuwa professor Anna Tibaijuka ambaye alianzisha BAWATA...
  13. M

    Ndugai: Mawaziri kutokuwepo Bungeni wakati hoja inajadiliwa ni Sawa!

    Nimeona mabunge yote ya Jamuhuri ya MUUNGANO Tangu enzi za kina Semindu Pawa, Byeitima, Brycon, Kimbau, Lubereje na hata kina Mrema, Gama na Kadhalika. Sasa tuna wabunge wanafanya lolote bila kwa na heshima wala mipaka. Rais wa nchi anatukanwa, Spika anadhalilishwa na kila anachofanya bungeni...
  14. M

    Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kwachafuka, Mkuu wa Mkoa apigwa mawe! Lema asakwa na polisi

    Lema anafahamu kosa lake ninini. Huwezi kukimbia bila kosa. Kweli makinda alikuwa sahihi kubariki kutimuliwa ili genge la wabunge
  15. M

    Hivi Mwl JK Nyerere na Edward Moringe Sokoine walikuwa na masters degree?

    Hahaha unataka kusema nini mkuu. Nyerere alikuwa na masters ya uchumi na historia kutoka edunburg scotland. Hii ilikuwa ni special kwa wakati ule na angeweza kuwa professor kwa shule za leo. Sokoine naye baada ya kuwa na advanced diploma aliona haitoshi akajiuzulu uwaziri mkuu akaenda kusoma...
  16. M

    Kwa Malaysia: Kwanini JK aige tu tume ya rais na si utawala wa majimbo?

    Hahaha jk mtamuota tu kweli ni kamanda wa kweli wengine ni mgambo wa renamo tu. Ameweza kuongeza wasomi vyuo vikuu kutoka 45, elfu kwa mwaka mpaka laki na 60 elfu. Barabara za kumwaga, treni zinakuja maji yanakuja katiba inakuja. Wenye wivu wahamie conservative union,
  17. M

    Mnyika akusanya saini za kukataa maisha magumu

    pumba tupu. Huu ni unafiki. Maisha magumu unayapinma na nini na kama mbunge utaondoaje maisha magumu?? Angalia yanayotokea dunia nzima nchi za ulaya zinafilisika watu wanakimbia kutoa pesa zao benki. Tanzania hatujafika huko. Kuna mwaka kabla huyo mnyika hajazaliwa wa Tanzania walikuwa hawana...
  18. M

    Nchi yetu sote, vyombo vya habari vinatugawa watanzania vitajuta hilo wanalolikusidia likitokea

    Hakuna ubishi hivi sasa vyombo vya habari tanzania vinaikaka nchi vipande vipande. Kuna ambavyo vimeamua kuipigania serikali kuna vilivyoapa kuwa havitaweka top coverage ya serikali hata kama rais anaongea na mbunge wa chama fulani ana hutubia huko ikwiriri basi hiyo ya ikwiriri ndo itakuwa top...
  19. M

    Kwa Malaysia: Kwanini JK aige tu tume ya rais na si utawala wa majimbo?

    Majimbo ni kuigawa nchi. Kwanza malaysia hawana utawala unaoufafanua hapa kasome vizuri historia ya hii nchi. Hatuna muda na ukanda ukabila na uchaga
  20. M

    CHADEMA Yaanikwa Bungeni Jioni Hii!

    chadema days are numbering
Back
Top Bottom