Acheni upumbavu wenu asiye na Huruma ni serikali yenu ya ccm inanayoacha wakina mama wanajifungua wakiwa wamesimama ambacho kinawafanya madakitari wagome nendeni hospitali za Temeke na mwananyamala mkaone
Aisee hata mimi nilikuwa ubungo nikasikia jamaa mmoja anaeleza kuwa moja ya waliompiga alikwenda kumwona na Dr Ulimboka akamtambua please wenye taarifa yote tupeni
Acha kumlaumu marehemu kwa hoja nyepesi za kibaguzi;kwani kwao mpaka anakufa mbona hakukuwa na barabara za lami?Nyerere hakuwa baguzi kama wengine waliofuata hebu fikiria hata nyumba alijengewa na JKT.He was truely a patriotic leader
Kusema ukweli kabisa mimi simpendi kabisa Rais legelege,umeniudhi sana na kunipa hasira jioni hii kumtetea mtu kama huyu asiyejua kwanini nchi yetu ni masikini
Helo mimi ni mwanaume wa miaka 28 nina mchumba wa miaka 21 ambaye nimedumu nae kwa miaka miwili,juzi alinieleza kuwa baba yake hapendi aolewe na mtu wa kabila langu.Nilipotaka kujua msimamo wake hakutaka kusema chochote na mpaka sasa hayuko tayari kuzungumzia chochote kuhusu jambo hili akidai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.