Acheni wapate mahakama yao kwani itaendeshwa na bakwata ambayo ilianzishwa na hao hao wanaowaita makafiri, na wala haina madhara kwa kuwa bakwata ni jumuiya ya chama chetu, sawa na uwt. Haina madhara hiyo.
Nilidhani jeshi la Tanzania ni "Tanzania Peoples' Defensive force" (TPDF), kama ndivyo, nje ya nchi tunatafuta nini???? basi, kama tunataka kutoka nje ya nchi, tuweke kitengo cha "Tanganyika Peoples' Offensive Force" "TPOF"
Hawa ni wezi wakubwa. Wakati wanaanza, walikuwa na lugha laini, kiasi cha kushawishi wengi wetu tukajiunga kwa ahadi nzuri kuwa tutakuwa tunapata gawio. Kinyume chake wamekusanya mamilioni ya Watanzania na kuishia mitini, hakuna cha gawio, na hata ukitaka kuuza hisa zako, wao hawaruhusu, kinyume...
"Ukisaajabu ya Mussa utayaona ya fillauni" Hata wakati wa kifo cha Kanumba, wapo waliomlilia Kanumba kuliko hata walivyowalilia wazazi wao, hadi waume zao wakaona kero. Imagine mke wa mtu anamlilia mwanaume baki hadi kuzimia, Hii nayo inakaaje???????????????????
Si kila mtu ana jicho la tatu. Ni wachache sana wenye jicho la tatu. Jicho la tatu lina uwezo wa kuona mengi. Ni rahisi sana kulipata, ila gharama zake ni kukubari kuua mmoja kati ya watu wako wakaribu sana, kati ya baba, mama, mke/mme/mtoto wa kwanza.
Tume ya Warioba ni tume ya tatu. Tume ya kwanza ilitoa mapendekezo ya wananchi kuwa ni serikali tatu, Chama tukakataa, tukaunda tume ya Pili, nayo pia ikaja na maoni yaleyale ya serikali tatu, chama tukasema HAPANA. tumeunda tume ya tatu, nayo pia inasema maoni ya wananchi ni serikali tatu...
Mawazo ya wajumbe wa bunge la katiba, mengi hayana tafiti, na hivyo siyo lazima yawe sahihi. Nimesikiliza hoja za ZZK, hoja zenye mashiko, nasikitika CDM kutomtumia katika kuwajengea hoja, ila mawazo kuwa zanzibar haiwezi kujiendesha ni fikra mgando za baadhi ya wajumbe, na nadhani, wazanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.