Wakuu...Naombeni msaada wenu wa mawazo...
Nimetokea kumpenda sana mtoto wa mama yangu mdogo na nafikiri labda MUNGU akipenda,nafikiria kumuoa huko baadae..Ila bado sijamwambia kuhusu hisia zangu juu yake.
Sasa je,Itakuwa sawa kama tukiamua kuoana? Hasa ukizingatia kuwa sisi ni ndugu..Je...
Mkuu Kileo,Nimefurahi sana kusikia habari hizi njema..Ebana wilayani kwetu mwanga kuna shida sana ya hamasa kwa vyama vya upinzani.2010 alisimama mgombea wa CDM Ila hakusikika kabisa na wala hakuweza kuleta upinzani wowote!! SO SAD..
Nikushauri kitu kimoja,HAKIKISHA UNAPITA TARAFA ZA...
Wakuu..
Nimesoma hii habari kuwa Watu waliofika kuanzia darasa la saba na kuendelea ambao hawakuweza kujiendeleza lakini wana uzoefu kazini watapata Nafasi ya kusoma Digree katika Vyuo hapa TZ.
Habari hii ni Nzuri lakini pia ni Mbaya.
Ubaya ni kuwa sasa Digrii Itakuwa kitu cha Kawaida...
Wakuu..
Nimesoma hii habari kuwa Watu waliofika kuanzia darasa la saba na kuendelea ambao hawakuweza kujiendeleza lakini wana uzoefu kazini watapata Nafasi ya kusoma Digree katika Vyuo hapa TZ.
Habari hii ni Nzuri lakini pia ni Mbaya.
Ubaya ni kuwa sasa Digrii Itakuwa kitu cha Kawaida...
Hapo Nakushauri chukua Hamsini zako Mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaa..
Achana naye hakuna kitu hapo,Ndoa bado anatoa makucha hivi,Mkioana itakuwaje???
RUN AWAY.
Sio Lazima Kila Post Uchangie..Ukiona huna cha kuandika,Unapita tu kimyakimya.
Unaonekana Unajua mahesabu kweli!!! Hebu Tuambie Umejuaje gharama za Posho ya Vikao..Na wewe Ulikuwepo nini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.