Hongera kwanza kwa maamuzi hayo.
Mimi sijawah fanya biashara ya kuku ila ninawafuga kias nyumban wa mboga cku nikipenda natumia.ninachokutia moyo tu kuku wa kienyeji ufugaji wake c o mgumu kama wa kisasa hawasumbui.
Pia utapoanza biashara yake utapata faida kubwa maana bei yake ni kubwa kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.