Hata Ulaya kuna masikini kama sisi! Sio wote wana pesa ya kukodi gari ya kuzunguka mjini.
Tofauti yetu na wao ni kwamba wanaweza kujiwekea mipango ya kufanya jambo fulani. Wanadunduliza kujiwekea akiba mpaka apate pesa ya kufanya jambo lake; kama vile kuja kutembea Africa. Akija anakuwa na...
Nimesikia redioni kwamba Denmark inafunga Ubalozi wake wa Dar es Salaam, lakini hawajatoa maelezo ya kina kuhusu sababu za Kufunga ubalozi huo.
Kuna yeyote mwenye taarifa za kutosha kuhusu ufungaji huo wa ubalozi? Maana nimeanza kufikiria jinsi Denmark ilivyo mshirika mkubwa wa maendeleo kwa...
Salama wakuu?
Juzi nilikuwa nasafiri kutoka Mbeya kwenda Dar kwa gari ndogo. Tulipofika Mbuyuni wilaya ya Rujewa, tulisimamishwa na askari wa usalama barabarani. Baada ya kusimama askari akaomba leseni ya dereva. Baada ya kuchukua leseni dereva akaambiwa anaadhibiwa kwa kuendesha gari kwa spidi...
Hivi majuzi nimeumia sana; nilikuwa na bando ya wiki kutoka tigo 10GB na mtandao ulikuwa mbovu karibu wiki nzima. nikawa nimebakiwa na 7GB mara nikapata ujumbe kwamba kifurushi changu kimekwisha muda wake. Nilitamani nimtafune mdudu tigo kwa hasira!
Model ni HUAWEI MT7 - TL10. Ilianza tatizo hilo mwezi Disemba nikiwa Zanzibar. Mwanzoni nilidhani ni tatizo la network kule Zenji. Niliporudi Dar, mambo yakawa yaleyale hadi leo.
Nimefanya factory restore, bado haisomeki.
Naishukuru sana serikali kwa kulifungia gazeti hilo, maana bila hivyo nisingejua kuhusu hii habari ya kuporomoka kwa shilingi. Japokuwa moto wake naupata kwa sana tu!
Naombeni msaada jamani. Simu tangu Huawei Mate 7 imepoteza uwezo wa kushika 4G na 3G. Inashika EDGE peke take na wakati mwingine inabaki kama simu ya kitochi tu. Nifanue mini iweze kushika tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yote ni mapokeo ya wakatoliki. Ni mitizamo ya watu tofauti kulingana na mapokeo yao. Soma Biblia, inakupa majibu yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lutu alikuwa mtoto wa ndugu yake Ibrahimu; hakuwa ndugu wa Ibrahimu (Mwanzo 12:5). Ndugu na umbu ilivyotumika katika Biblia ni watu waliozaliwa pamoja, sio ukoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tank 0 lina tundu kwa chini, hivyo maji yatakayo ingia yatatoka moja kwa moja. Tunachukulia kwamba mabomba yote yana kipenyo Sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yatajaa Kwanza tanki namba 7, sababu, maji kutoka 0 yanaingia kwa juu kwenye 1 na kuendelea 3. 2 itaanza kupata maji baada ya 1 kujaa. 3 inatoa maji kwa chini kwenda 7 na ikijaa ndipo inapeleka 4, 5, 6. 7 ikijaa ndipo inapeleka 10 na 11. Kwa hiyo 7 Ndiyo itajaa Kwanza.
Sent using Jamii...
Habari zenu wanajf?
Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu kwa shirika letu la nyumba NHC. Tangu menejimenti mpya ya akina Mchechu na wenzake ianze kufanya kazi; tumeona mabadiliko makubwa katika utendaji wa shirika hilo, kitu ambacho hakijawahi tokea tangu kuanzishwa kwake.
Kitu kinachnitatiza ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.