Panahitajika tafakuli ya kina kupembua hili swala,binafsi naona nivigumu kukubaliana. Baada ya hitilafu iliyotokea hapa kila mmoja ale kilichochinjwa na dini yake,imani ya waislam siyo ya wakristo and vice versa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mimi naona kila mtu anahisi anaonewa wazibari na watanganyika,waislam na wakristo,waarabu na wazungu,ccm na cdm,kikwete na Dk slaa ushauri wangu muislael hawezi patana na palestina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.