BODI YA MIKOPO NA SHERIA MPYA NI UPATU KWA MWAMVULI WA SERIKALI
Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao. Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA Yaani...
:disapointed:Mfahamu askari polisi aliyetaka kumuua shekhe ponda kwa kumpiga risasi huko morogoro:
jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini
fichua uovu na waovu, kataa dhulma kwa maendeleo ya wananchi na si viongozi
KWA NINI WAISLAMU WANAKUSUDIA KUSUSIA SENSA 2012? Ni nini kilichotokea? Ni jazba au wana hoja?Katika gazeti la Tanzania Daima la 16 Juni 2012, mwandishi mmoja aiitwaye Ratifa Baranyikwa aliandika na ninanukuu Mfano mwingine ni huu wa juzi, ambako Waislamu wametangaza...
salaam ndugu wapendwa!
ni kweli inauma na kusikitisha unapofika na mgonjwa kisha madaktari wanakuangalia
kama vile umekwenda kuuza sura. mgonjwa analia huna lakufanya. huruma imewatoka, mafunzo wameyasahau ubinadamu hawana tena. wamesahau muda wote wapo masomoni ni fedha za watanzania hawahawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.