Wakuu nami naomba msaada kwa ajili ya dogo anataka kusoma pharmacy Bungando, Muhimbili au KCMC je kwa ufaulu huu atapenya?
BIO - C
CHEM - B
PHY - E
G/STUDIES - D
B.A.M - D
Niko seriuos lakini siwezi kukimbilia kuingia ubia ambao sielewi nitagharika kiasi gani pesa & muda na nitazalisha nini ndiyo sababu nataka anijibu kwanza kwa kuwa anauzoefu au yoyote anaweza nijibu nitashukuru.
Asante Mkuu.
Kwa sasa bado najaribu kuona itagharimu sh ngapi na vitu gani vitahitajika, hivyo kama unao uzoefu ni vema ukaniwekea hapa. Je nitahitaji kuwa na nini na nini na kwa gharama kiasi gani ili niweze kuzalisha japo chupa ya lita moja kwa mfano.
Salaam jamaa wote.
Naomba mwenye kujua gharama za kuandaa chupa ya maji ya 1Lt toka usafishaji wake mpaka packing ikiwa na lebo na vibali vyote husika.
Natanguliza shukrani zangu.
Mimi sioni sababu ya mtu kujiunga na hizo sijui cheka, jirushe na nyingine ya tgo sijui nini vile, ikiwa sh 1000/= naweza itumia kwa masaa 24 kwanini isiwe hivyo mpaka nijiunge? huu ni wizi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.