Huyu mzee 1950s tayari alikuwa msomi wa Makerere University. Alitumia hela yake nyingi kuendesha kesi ya uchaguzi kigoma.Mungu alize roho yake pema peponi.
Tatizo kuna watu wanasoma kitu huku wakiwa wameshaamua kutokubali, kwanini usome kitu wakati umeshaamua kutokielewa. Nimesema kilichoandikwa kwenye magazeti hakikuwa cha ukweli, lakini unajibu kama vile nimesema kilichoandikwa kwenye magazeti ni ukweli. Na hili la Mbowe linakuja kwasababu moja...
Katika mpango wa kumuangamiza SHIBUDA kisiasa gazeti la mtanzania daima na vyombo vya habari vingine ambavyo vinawaandishi wanaopokea vibahasha vya pesa, wamekuwa na mpango madhubuti wa kupindisha kauli za SHIBUDA au kumuwekea maneno mdomoni ili aonekane ana nia ya kuiangamiaza CHADEMA.
Kwanza...
CHA kushangaza kuhusu washabiki wa CHADEMA wanaokuja jamii forum ni kwamba uzushi wowote unaoandikwa na magazeti kuhusu SHIBUDA hata bila ya kuthibitishwa wanauamini haraka, mbona magazeti yalivyoandika MBOWE kadanganya kuhusu kurudisha gari; bado anatumia gari alilopewa kama kiongozi wa...
Taasisi ya kutathmini utawala bora ilipokutana na CCM, Shibuda kama mwanachama wa hiyo taasisi, baada ya mazungumzo rasmi, alitaniana na Kikwete na akamwambia anataka kuwa mgombea binafsi na yeye kikwete amuunge mkono. Na ni kutokana na utani huo ndio maana kikwete kazungumzia mgombea binafsi...
Taasisi yakutathmini utawala bora ilipokutana na CCM, Shibuda kama mwanachama wa hiyotaasisi, baada ya mazungumzo rasmi, alitaniana na Kikwete na akamwambia anatakakuwa mgombea binafsi na yeye kikwete amuunge mkono. Na ni kutokana na utani huondio maana kikwete kazungumzia mgombea binafsi. Watu...
Taasisi yakutathmini utawala bora ilipokutana na CCM, Shibuda kama mwanachama wa hiyotaasisi, baada ya mazungumzo rasmi, alitaniana na Kikwete na akamwambia anatakakuwa mgombea binafsi na yeye Kikwete amuunge mkono.
Na ni kutokana na utani huondio maana kikwete kazungumzia mgombea binafsi...
CHADEMA lazima muwe makini na uwezo wa kujuwa kwamba hii stori imetengenezwa na magazeti kutimiza matakwa ya ccm. Kwanza angalia magazeti (Jambo Leo, Uhuru) yenyewe yaliyoandika yanamilikiwa na nani. Je ni kweli kasema wapinzani hawawezi kuchukuwa nchi au kura za wanachama wa CHADEMA hazitoshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.