Jafari alikuwa si tu class-mate wangu Mzumbe High School, bali alikuwa rafiki yangu mkuu. Tulipotezana kwa muda mrefu. Taarifa za kifo chake zimenihuzunisha sana. He was intellectually fantastic, mstaarabu and above all altruistic! R.I.P comrade Jafari Siraji.
Mheshimiwa FJM, January Makamba hakuwa mshauri wa Rais Kikwete, yeye alikuwa ni Personal Assistant to the President Special Duties (PAP-SD) na kama presidential aide, kazi yake pia ilikuwa kukaa na kuchukua notes wakati Rais anaongea/kukutana na dignitaries
Mbona dhahama hii tena jamani! Ingawa si kipindi cha kulaumu mamlaka husika, lakini tujiulize, ni sawa kusema hili tukio lilikuwa bahati mbaya? Ni sawa kweli jamani? Kwanini hatuna namna ya kuchukua tahadhari na majanga kama haya? Ufisadi utumalize, hata moto wa mabomu nao??!
You can not change the system while you are part and parcel of it! Hakuna cha mtaalamu wa kulipua mabomu wala nini hapa!Viini macho vya siasa za bongo!dawa ni moja tu, kuunganisha nguvu na kuwaeleze wananchi wajue adui yao wa kweli ni yupi! Umasikini ni kitu kinacholetelezwa tu na hii mifumo ya...
Yale yale tu tuliyoyazoea bongo!Mtu anasema eti watu wanafurika lakini mapato ni kidogo, sasa watazamaji wanakuwa wameingia kwa kuruka ukuta?Ni wazi kuna kitu tu hapo, na si kingine, wanaowekwa mlangoni na wanaouza tiketi wanacheza michezo ya kifisadi! watanzania tutafika kweli kwa hali hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.