Katika hali ya kuskitisha nimeshudia kwa macho yangu gari la serikali la halmashauri ya Tandahimba- Mtwara likiwa limewabeba wanachama wa CCM. Ikiwa leo ni uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata ya Mkuti, gari la serikali aina ya landcrusal limewabeba wanachama wa ccm na...
wenye akili finyu ndo wanafikri kama wewe nenda kwenye vyuo hivyo kama hautakuta waislamu wanasoma kwenye vyuo hivyo. Tatizi ninyi mnakalia majungu huku wenyenzio wanapiga kitabu. Usituletee mambo ya udini hapa.
Tanganyika ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yaliyojipatatia uhuru wake mwanzoni mwa miaka ya 1960, kwa sababu ambozo hazijulikani taifa hili lilipotea tangu mwaka 1964, shukuruni zangu za pekee zimfikie mwenyekiti wa tume ya katiba kwa kuliona hili na kuwepo kwa umuhumu wa kuwa na taifa...
Jamaani serikali ya CCM muko wapi. Huku Mtwara- Tandahimba hali si nzuri wananchi waliowapenda wakawapa kura, leo hii wanalazimika kununua duma la maji sh 500 hadi 1000. Haya ndo maisha bora kwa wanamtwara?
Vipi au wewe ndo mwenyewe hujui maana ya nukuu kama huna la kuchangia kaa kimya sisi ndo walimu ambayo elimu yetu ni ya uhakika si ya kupewa mezani tumeangaika na elimu ya kitanzania, na tunadhalilishwa na watu wa vyeo vya kuteuliwa.
Ualimu ni fani ya watu waliofeli, hivyo hawana haki ya kudai nyongeza ya mishahara, hii ni kauli ya mkuu wa wilaya Mbeya Dr. Norman Sigalla huu ni uzalilishaji wa fani ya ualimu, na kudhalilisha fani zote hata yeye mwenyewe maana hata kuteuliwa kwake na J.K wote walifundishwa na walimu nina...
Ni heli vita kuliko kuishi katika nchi ya kidharimu ya Tanzania inayoongozwa na CCM, nimefikia hatua ya kusema hivyo kulingana na unyanyasaji katika kila idara hapa Tanzania walimu, madkitari hadi leo hapa Morogoro wananchi tunapigwa mabomu na police utadhania sisi ni majambazo we are so tired...
Ndugai uwezo wake wa kufkiri ni mdogo sana kuwambia wananchi wa kawe kuwa walichagua kituto ni ishara tosha kuwa mwenyekiti wa bunge kawatukana wananchi wote wa Kawe walimchagua Mdee kuwa ni vituko na wao pia. Nashangaa kuona viongozi wa bunge wanatumia jaziba kuliko kutumia taratibu na kanuni...
Wewe ni mpuuzi asiyefikilia unatoka wapi, uko wapi na unaenda wapi katika serikali ya kidkitata kama hii iliyojaa uchovu wa fikra pole sana kwa kuishiwa na fikra katika ubongo wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.