wataalam wenzangu jana nimebahatika kuipata ses 4 @ 22w kwa offset dish,na nkaona nilete kwenu wenzangu ili hata kwa muonekano tu tufahamu inavyokua,freq 11671 v 30000,
xory kaka kwa kutokujibu toka jana,kwa bahati mbaya sina access ya whatsapp wala fb kwa sasa,account zangu katika mitandao hiyo ya kijamii mezifunga kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu kaka,kama msaada wa hapa hapa jf utapata kaka,mara nyingi nakua online asubuhi na mchana mara chache kutokana...
yap kaka,waweza ku combine lnb zaidi ya moja na ni kama ifuatavyo,kwanza hakikisha ukisimama mbele ya dish,mikono ya dish imefungwa mmoja kushoto,mwingine kulia na wa mwisho umefungwa mbele yako yaani sehemu ya mbele ya dish,wakati huo lnb ya prksat iwe ndio prime focus,huo mkono wa kushoto wa...
main kaka kiburudisho ni nilesat ambayo ndo hiyo prime focus ku band ya rangi ya silver,hizo lnb pia zimefungwa kwenye aluminium kaka,alafu wataalam kimaoni yangu tu,mi naomba tuwe twaelekezana ndani ya uzi huu jamani,maana utakuta mtu anauliza kitu,lakini mtoa majibu anasema nicheki watsup...
kwa bahati ndugu zangu leo nimebahatika ku attach picha ya setup ya NILESAT,SES 5,AMOS 5,katika dish ya ft 6, hiyo lnb ya rangi ya silver ya prime focus ku band ndo nnayopatia channel za nilesat kama dubai one,mbc nk,hiyo lnb ya chini yake yenye rangi nyeupe na mfuniko mwekundu,ndiyo napatia...
katika kuchangia mawazo mafundi wenzangu,uelekeo wa nilesat 7w kwa dish la ft 6 na hiyo nilesat ikiwa ni prime focus waeza ongeza lnb 3,sirius 4.8E,ukapata tv congo,france 24 etc,chini yake waongeza eutelsat w3 7E,ukapata rts,pia kwa chini zaidi waongeza amos 5 @ 17E ukapata local channels...
katika watu wababaishaji japo unafahamu zaidi wewe ph ni mmojawapo kaka,wewe waiona taka taka sikatai ni maoni yako,lakini wenye busara zao na wanaojua maana ya kujifunza wanatoa ufafanuzi,muhimu kwako,kama unajiona unajua zaidi ya wengine,usikurupuke,tafakari kasha chukua hatua
ph,hakuna alizaliwa anajua,hata huyo mwalimu wako alirudia na kukurekebisha ulipokosea mara nyingi ili uelewe,ila kuna kitu nimekigundua,kuna wataalam ambao wanajua ila wanakurupuka kujibu ktu,mbona wengine hawako hivyo,wangapi wanakosea katika kuuliza,lakini mwenye busara anamrekebisha na...
kaka tusichoke ahsante kwa busara zako,unajua walimu wako tofauti,hata wale ambao waliona nimekosea nao wao kwa uelewa wao ndo hawajui zaidi,maana kama nimekosea kuuliza,je wao wenye uelewa wamemerekebisha namna swali linavyotakiwa liwe na je wamelitolea majibu?hakuna hata mmoja kati ya hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.