Ukwaju,
Mkuu tofautisha:
- High heart rate Moyo kwenda mbio) na High blood pressure (Shinikizo la damu).
- High heart rate ni kama moyo unadunda zaidi ya mara 100 kwa dakika moja mtu akiwa ametulia (Japo akiwa anafanya kazi au mazoezi ni kawaida kuzidi 100)
- High blood pressure (Shinikizo la...
Hazifanani,
Gormahia wameingia robo Confederation Kenya wakapewa point 2 wakati Simba imeingia robo Champions league Tanzania tukapewa point 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini wasiwepo wenye uwezo mkuu?
Hiyo ndege ilikuwa inatoka Addis kwenda Nairobi, tafuta Ethiopian airline iliyotoka Addis kuja Dar es Salaam au Kilimanjaro uone kama haina watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiambiwa ulipie kila app unayotumia including Jf ili hayo matangazo yasiwepo utakubali?
Kadri Tangazo linavyojitokeza mara nyingi ndivyo wenye tangazo nao wamewalipa google hela nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakikisha una
1. Kitambulisho cha taifa
2. Cheti cha kuzaliwa
3. Affirdavit ya mzazi mmoja
4. Barua ya mwaliko au uthibitisho wowote wa safari
5. Application form ambayo utakuwa umeapply online(utalipia 20,000)
6. Barua ya mtendaji wa kijiji/kata kama sio mwajiriwa.
7. Uthibitisho wa shughuli...
Mkuu mawasiliano ya Whatsapp ni end to end encrypted sidhani kama hapa Tanzania wanaweza wakayadukua.
Hao waliokamatwa ni kwamba walitukana kwenye magroup sasa mmoja wa member mwenzao wa group akscreenshot au hata kama alichati na mtu private basi huyo mtu alipeleka ushahidi.
Baada ya kufanya utafiti na kuridhika nao sasa tumeamua kuutoa mbele ya watanzania! Kama hujui hesabu hasa probability sasa iko hivi, probability ni uwezekano wa kitu fulani kutokea sasa leo tunaenda kuzungumzia uwezekano wa mtu kuolewa au kuoa:
WANAWAKE
1. Ukiwa una tabia nzuri ila shape na...
Asilimia kubwa ya wanawake wazuri sana kuwaoa ni sawa na kuwa na shamba la miwa karibu na shule ya msingi, utatatumia nguvu nyingi kuhakikisha wanabaki kuwa wa kwako siku zote maana kila mtu anawatolea macho. Ila kwa kuwa nao kwa muda mfupi tu, hapo haina tabu kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.