ukifika kituo cha shule ya saint anthony mbagala unaingia upande wa kulia kuelekea kiburugwa, kwa nyoka kwa IQ yangu ndogo ni majina tu kama kwa madenge, kwa komba, kwa remmy...... ni uswailini kiasi
Ipo Mbagalla kwa Nyoka, jirani kabisa na shule ya msingi Juhudi
ujenzi umefika chini ya lenta, ina vyumba 3, sebule, public toilet, shimo la choo lililojengewa tayari, ina hati miliki ya wizara ya ardhi.
Mawasiliano 0777 570 570
Ni kweli ataleta zawadi za kumwaga mbungu limbukeni huyo
anatetemekea zawadi ya chandarua, dawa za kupunguza makali
ya ukimwi, condom, wakati wazungu wanachota almasi, dhahabu, uranium,
na umeme kwao haukatiki ovyo kwa kutumia rasilimali zetu kwani hivi vitu cc tunashindwa kuagiza? yani Mungu...
Hiyo ya TWIGA ilikua upepo tu, huoni ulipita?Kumbe safari ya kwenda kuwapa pole wahanga wa bomu la Ola City ilikua ya mafanikio makubwa, naombeni mnikumbushe viongozi gani walikwenda Ar last week
Mtu mmoja wa miaka 47 aliyejulikana kwa jina la Shirima mkazi wa Kibaha, amemuua baba yake mzazi anayekadiriwa kuwa na miaka 70 kwa kumpigarisasi iliyotoka kwenye SMG yake.
Inasemekana baba huyo alikua amelala nyumbani kwa mwanae na alitokea Moshi kwa mualiko wa harusi ya bwana Shirima ambayo...
mkuu kujenga reli hapo mororgoro roa nadhani ingekua cheap kuliko hiyo barabara walojenga coz kila kitu tunazalisha hapa nchini labda tunge import xpert tu coz hawa wetu hawawaamini, ukiangalia reli zilizotumika kujenga hivyo vituo vya morogoro road ni nyingi balaa, kwamtazamo tu ukizicheki ni...
Diana Sempebwa Katabarwa shared Kazarama Vianney's status.SaturdayWa Tanzania na South afrika ambao wako nafika Goma ni wazee saana, na wako na tumbu kubwakubwa hatujuwi kama wata weza panda milima ama kuvumiliya barindi ya usiku. Habari tunazo ni kwamba woga imeanza kuwashika. Apa juzi waliona...
4real kama polisisiem wangepiga cm haraka kujua ni gari gani limetoka eneo la tukio na wakasambaa kwa wingi kama walivyokua wakimlinda Mh Lema nyumbani kwake am sure wangewapata hao magaidi, otherwise wameshiriki ndo maana wameweka nguvu ndogo kwenye kuwahi kutake reaction
kama habari sio ya jana basi hii jiji imeingiliwa, ni kweli CRDB new lumumba next [HAPA NDIPO ILIPOZALWA TANU] wanafanya kazi jumapili lakini sina uhakika kama ni mpaka jioni
mi nina mbinu mbadala jamani ya kuwaokoa hao wanyama pori coz hata hiyo miaka saba watu wanayosema kwamba watakua wamekwisha haitafika nadhani only 1year tembo wote tanzania watakua wamekwisha coz kasi ni kubwa kuliko maelezo.
nimeangalia National Geographic channel wanaonyesha makaburu wa mbuga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.