Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi...
Five critically endangered eastern black rhinos have been flown from Europe to Akagera National Park in Rwanda.
The rhinos come from the European Association of Zoos and Aquaria (EAZA) breeding program and will add vitally needed fresh genetics into Rwanda's fledgling population, made up of...
Jana kuna picha wa wananchi wa wilaya Ngara wakichota mafuta baada ya gari la mafuta kuanguka. Mkuu wa mkoa amemuagiza kamanda wa polisi mkoa Kagera kuwakamata wote waliochota mafuta na kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria.
***
Watu nane Wilayani Ngara wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za wizi...
Benki kuu imetoa maelekezo kwa mabenki ; kuwa mtu asitoe wala kutuma pesa kama sahihi yake ya kutoa au kutuma pesa haifanani ya Kitambulisho cha KURA au URAIA.
Baadhi wateja wamechindwa kufanya miamala benki za CRDB kwa sheria hiyo.
Nilitegemea kwa maagizo hayo.
1.Mabenki yaitishe utiwaji wa...
Nimepata taarifa China wanataka mazungumzo na serikali kuhusu ujenzi wa Bandari Mpya ; Serikali waongeze masuala haya kwenye mazungumzo yao.
1.FEEDER SHIP- zisiruhusiwe ku berth bandari ya Bagamoyo. Hizi meli zipark bandari ya Dar es salaam, Tanga na Mtwara. Feeder ship maana yake- Meli kubwa...
USHAURI WA BURE;
Biashara ni Network - Kumbuka hawa wanunuzi wana Network na wanunuzi; lazima serikali ijue root cause; JUA KULE NJE TUNAUZIA PRIVATE SECTOR , AMBAYO INA SIMAMIWA NA SERIKALI ZA HUKO; IKI GOMA PRVATE SECTOR;SERIKALI YA HUKO HAINA NGUVU.
TUJUE WALE WANAYO STOCK YA MIAKA 5-10...
Mkoa na wananchi wa Mkoa Kagera wana Vilio vikubwa . ambavyo wanalia kama samaki Bharini. Moja wapo Mitandao ya Mkoa Kagera imepigwa Stop mwezi mmoja kabla ya ziara ya waziri Mkuu. Ikiwemo facebook, blogs zote zimebaki domant. na sababu kubwa ni matatizo na changa moto za mkoa Kagera.
kwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.