haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi.
changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
Ndugu zangu natafuta kazi nina degree ya human nutrition pia nimesoma courses za food science and home economics, kwa yoyote anayeweza kunisaidia ani pm. shukrani.
mkuu samahani nilipotea kidogo. nilifanya intavyuu, then wakanitumia email kuwa sijafanikiwa. leo wamenigia simu tu na kuuliza kwa sasa ninafanya wapi kazi basi. sasa hapa nimechanganyikiwa sielewi wanataka nn tana.. aah kichwa inauma.
Habari wakuu,
naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need that job.
thank you.
Kwa mara ingine najitokeza hapa naombeni mnisaidie ni wapi naweza pata kazi,nina degree na nimefaulu vizuri tu ila sijafanikiwa kupata kazi.
naomba mwenye uwezo wa kunisaidia anisaidie jamani,nimesoma kozi za uchumi pia nimeshawahi fanya kazi kwenye microfinance.
mwenye kuguswa na tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.