Inavyosemekana mchizi baada ya kuona Yotam kapewa shavu lingine ,yeye akawa anautaka U-PRO,wakamtema kwa sababu ya elimu ya kuungaunga na pia uwezo mdogo,Azimio ni kwamba Yotam aendelee na vyeo vyote viwili,Kasheshe ndio ikaanzia hapoooooo!!!!Roho inamuuma akisikia jamaa leo yuko Ukerewe,kesho...
Ya ngoswe amwachie ngoswe,elimu:certificate naye alitaka u-PRO hahahahahaha!!!!yeye anafaa awe Kanjanja!!!!Atu hakuna alichowaza ni kumletea tabia za kike humu,kama yeye ni mfanyakazi wa Mkoani kwa nini asilifikishe suala hili kwa Mkuu wa Mkoa kama hajamvisha gauni na helen.He is more than a...
Elimu:Certificate ya Habari,nawe unataka cheo cha Afisa Habari wa Mkoa,hahahahaha terrible!!!Afu kuthibitisha kuwa ni tikiti,Je mtu anaweza futa comments za mchangiaji mwingine kama yeye si mtoa mada?Tunakubali sawa elimu huna,lakini hata hii ya kujua nani mwenye authority ya kufuta comments...
Don't be dog in the manger!!!Elimu huna afu unaitaka post ya Yotam,wamekutosa,aliyepata unampepetea majungu.Nenda shule kaka!!!Majungu kwenye JF hayajengi na wala hayawezi mwindolea nyadhfa yake.
Watu hawafanyi kazi kwa kuendekeza umbea wa Jamii Forum,Mbona hatujasikia hao waandishi wakisusia kuandika habari za mkoa?Au kwa vile kawanyima pesa kwa kutowaweka kwenye Paylist?Wakisusia kuandika habari za Mkoa,Mawe yataandika habari.Mnamwonea wivu nyie wajamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.