Nyongeza. Hayana madini ya asili yanayopatikana ardhini ukilinganisha na yale ya bomba au kisima. Madini km chuma, fosphorus, calcium nk ni muhmu kwa mwili ila maj ya mvua yaapwaya
Nimetoka Dar leo asubuhi na FastJet kuja Mwanza wakati wa kushuka nikamkuta naye akishuka na Precision Air kumbe slikuwa anakuja kwenye hilo tamasha!!""
wema mwenyewe rangi na nasura ya kutisha km kitimoto. kuna siku nilikuwa Gold Crest Mwanza nikamkuta wako na jamaa wawili nikamwona kwa karibu duh km jini afu ana miguu ya miwa du hata bure hapana jogoo anaweza kugoma
sasa TCU kuna watu pale?. Director wa Accredition & Quality Assurance Dr S. Maronga alinifundisha na alikuwa head of department yangu pale UDSM. Hamna kitu kichwan kabisa. waulize waliomaliza mining & moneral process kati ya 2000 na 2010 watakwambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.