Treni haiwezi tembea 300km/h kwenye reli ambayo haijachomelewa bila kuacha njia (mtetemo aureverberation itakuwa kubwa sana). kajisomee kwanza kitu kinaitwa natural frequency na resonance, ukishaelewa "kuja" tena hapa tuongee.
Historia ya miaka zaidi ya miaka 500 inapingana na we, kuhusu kutawaliwa kwa Afrika na Urusi. Sasa kama wewe ni mwerevu kuliko 'time tested' tabia ya warusi, basi utakuwa sawa na Dr. Fauci analiyetudanganya kuwa covid vaccine ni bora kuliko 'time tested' (million of yrs) natural immunity.
Tanzania kuna potential sana, tena uchumi wetu unajibeba wenyewe, mi hata ndege nne za mizigo naona sawa tuu. Serikali ikijibana na kuacha kununua vikofia na t-shirt za vikao, sijui nini, tutaweza kununua ndege nyingi.
Sikuongelea matumizi ya ndani, haya hayajabadilika sana.Ila niliongelea export ambayo ilisababishwa na zile mashine za machinjio za kisasa, unakumbuka ile shtukiza ya vingunguti?. Zamani ilikuwa vigumu kuexport nyama zetu kwakuwa hatukuwa na machinjio ya kisasa, pamoja na uwezo wa kusafirisha...
Man, it was a joke, chill out, I probably have 1000 tabs on one of my computer right now. The only thing that makes them run smoothly is because I'm powered by linux
Chill out, all this you write here is unnecessary. What you're doing now I did 20 yrs ago, and I wasn't freelancing, I owned a company, incorporated in Nevada, made my own digital products and services. I used to game g@@gl$ with techniques like ip cloaking to gain traffic and all sot of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.