Hoja ya msingi hapa ni usaliti aliouanda kupindua viongozi waandamizi wa chama na sio kadi ya dr slaa aliyokuwa ameilipia miaka kadha akiwa ccm kwa kuwa haina madhara yoyote km ambavyo inakwenda kutokea kwa zitto atajiunga na chama kingine na huku kadi yake ya cdm ameilipia miaka mingi.
CCM endeleeni kudanganya watu kwamba wananchi wanataka kuandamani kupinga wao kupigwa na kuuliwa kama wanyama badala ya kusema ccm imeandaa maandamano,pia nawashauri endeleeni kujitekenya wenyewe na kisha mnacheka kama mh mchemba mwigulu,u-mauti umewadia.
Hakika umenena tena huenda sasa akagongwa na gari kama sio kujumiwa majambazi nyumbani kwake. Usalama kwake ni pale atakapoweka mambo hadhalani kwakuwa atajiweka ktk ulinzi zaidi wa umma na serikali .
Tunahitaji fikra zako wewe mwenyewe kuchunguza madhaifa ya serikali inapokwama ktk kukusanya mapata na pale inapotumia vibaya rasilimali asili za nchi pamoja na mislocation of human resource,vandalism,theft,extravagantism na mengineyo. Tunaamini kama tutatumia vizuri mafungu haya uwezo wa...
Its wonderful ,wakati walimu wanalamba wengine hadi laki moja na sitini kwa mwezi wengine wanapata mil 17 kwa mwezi,lakn pia polisi ambaye hajafanya wala kufaulu mtihani mgumu wa kiswahili anapata kiinua mgongo sio zaidi ya mil 10.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.