usijadanganye kua kura zilichakachuliwa hebu piga hesabu 320-24=? then ndo utajua ukweli! au wewe ulipiga kura ngapi? mbona sehemu mlizoshinda hamjasema mmechakachua?
hivi hawa chdm ni nani hasa ktk hii nchi? mbona cwaelewi? yan cjui niwaweke ktk kundi lipi yan wanajiita na wapenda mabadiliko then wakifanyiwa hayo mabadiliko wanakataa wanakua wapinga mabadiliko!!!! yani kwa jinsi ilivyo cjui kwa vichwa vya hao viongozi wao wakipewa hii nchi wataongoza vip yan...
Ushindi ni mbinu na kupanga ni kuchagua sio kila mwenye macho anona wengine ni urembo tu ila hawaoni kabisa, Mbona watu hawajiulizi pamoja na yote yaliokua yakiendelea Arumeru lakini cdm walikuja kuchukua Jimbo? Ushindi ni mbinu tu.
Wadau hebu tuwe na akili timamu hivi ni lini tumewahi kupewa mahesabu ya mapato na matumizi ya chama? tusikurupuke kumshutumu tu mtoa mada kwani kuna jambo analijua, sisi tunataka watu wenye kua wa kweli lakin kwa namna hii napata picha kua siasa ni unafiki kwani nimejaribu kujiuliza kua ni pesa...
Kifo hakina taarifa ila wadau hebu tujiulize hizi coment zetu za kishabiki hasa kisiasa zinamjenga nani ama kumbomoa nani? leo unacoment kufirahishwa na kifo cha RPC Barlow then the next day unacoment kuhusu chama fulan kua ni bora kuliko kingine je? unataka ionekane ni upande flan wamehusika...
Tusubiri tuone ila tukumbuke nchi kubwa hii wakati mwingine tunajipiga wenyewe, kumbukeni hakuna aijuae kesho hata mtunzi wa kalenda na kila aitazamae kesho yampasa................
tusianze malumbano bila sababu za msingi kwani asiejua kua zito ni mmoja kati ya wale walioiinua zaidi cdm? hapa kwanza ni watu wajue kua hatumchagui mtu kwa uongeaji wake bali kwa uwezo wake kwani wakati mwingine watz wanao uwezo mkubwa wa kuongea kuliko kutenda taifa limekosa maadili hebu...
hii ni hatari kama tusipobadilika sisi wenyewe basi hali itakua mbaya sana kwani ukiona gari imejaa huwezi kusubiri nyingine? tukubali kua wakati mwingine huwa tunajitafutia matatizo sisi wenyewe. mbona wenzetu jirani kenya na uganda wameamua kufanya utaratibu wa kutokupanda gari isiyokua na...
ni mbaya sana kua unaongozwa na ushabiki na si uwezo wa kufikiri mi nadhani most of u hanjui mnachotaka udhaifu bwa kikwete ni chimbuko lenu wenyewe maana hakuna msafi bila uchafu, fikirieni sana maana kama mnadhani kikwete ni dhaifu nani c dhaifu mbele yenu maana hao mnaowaona c dhaifu mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.