Hawa TPB walitangaza kazi 28 February, 2014 za Relationship Officers, Walisha ita watu kwa Interview au Ndo tayari watu wako kazini? Mwenye Updates jamani atujuze, Nawasilisha
Wapendwa, naomba kujuzwa kwa mwenye any updates kwa post walizotangaza (12th February, 2014) hawa jamaa wa TPB walisha ita watu kwa ajili ya interview au tayari people zipo kazini? kwa anaejua. nawasilisha
walisema wataandika majina kwenye gazeti la mwananchi au daily news la kuanzia tarehe 20 hadi rarehe 1 may, atakae weza ona majina hayo kwenye hayo magazeti atujuze
Ukijaribu kutuma tu kwa kutumia real and valid contacts, utakiona cha mtema na kuni, wezi haoooooooo, kimbia ndugu, NGO gani inatangaza kazi kishamba ivi
walisema majina watayaweka kwenye Magazeti ya MWANANCHI AND OR DAILY NEWS kuanzaia tarehe 20 April - 1 may, ivyo kama tarehe hizo zimefika, ni jukumu lako/lenu/letu kuyasoma kwa hizo siku zote tajwa ili usipitwe
Ngoja tusubiri mana hata mimi niliomba naona kimya kimezidi wakati nafasi zenyewe ni 12 tu, isije ikawa kama ya MWANZA COMMUNITY BANK yule aliejifanya Agent anataka hela!!!!!!!!
DISTANCE LEARNING SUPPORT NETWORK walitoaga tangazo la kazi na walikuwa wanatafuta ADMISSION COORDINATORS, ivi mchakato wa kuwapata hawa macoornators ulishia wapi kwa anaejua au kuwa ta taarifa mana walidai wanaendelea na mchakato na january na february au march watu wange itwa,
mwenye...
mbona mfumo km wamebadili vile, UN walikuwa wanawafanyisha written na oral zikiwa zinafata na wanajumlisha markx zote ndo wanampa m2 job, sasa leo written inasubiliwa mwezi mzima?
Wana wa janvi, napenda kuhulizia hawa UNHCR walitangaza kazi mbalimabli Km ASSISTANT FIELD OFFICER - ulyankulu,
PROTECTION ASSOCIATE- KIGOMA KASULU, & RESETTLEMENT ASSISTANT - KASULU, je kuna mdau mwenye info yoyote kuhusu km walisha pata watu wao ili tusahau kuhusu izo post mana niliomba na uko...
ANDERNORMANS
umesema kuwa uliongea na muhusika na kusema kuwa mchakato utahanza tena january, kaka mimi hapo sijakupata vzr, inamaana kuwa watatanga upya izo nafasi na sisi ndo tumepigwa chini au ndo watazi review kwa wale ambao tulikuwa tuisha fikia hatua ya ya kupeleka certified copy?
ivi ni kwani mkuu m2 akisha fanya kazi na ninyi na kuachana na ninyi kwa amani ampendi kumpa kazi tena akirudi hata km anafiti iyo post na certificates of service zenu mlimpa? Au sera zenu ni rotation, only new membez, ukisha imba pambio na sharom asubuhi hutakiwi tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.