Nimewahoji madereva Kama Sita hivi, wanasema ni za Rizwan, na watu wa custom, nimehoji mbona Haya magari yanapita tu? Nikajibiwa ni za wakubwa. Sasa ushahidi gani unataka?
Habari za ndani kabisa zinasema kuwa Barare limited wamekopa asilimia 60 ya kukamilisha hii project toka shelter afrique iliopo jijini Nairobi Kenya. Ina maana Barare inatakiwa watoe 40% sawa na $250million ndio wafanikiwe kupata hiyo loan.
Mjenzi tayari ameshapatikana kampuni ya Estim...
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Swali utajiri huu ameutoa wapi?
Pamoja na kuwa nimeshawaambia viongozi, pia naomba niweke hapa.
Wakati tunazindua M4C Arusha moja ya challenges ilikuwa mitandao Kwenda down na Watu walishindwa kuchangia, hivyo basi safari hii tujitahidi isitokee sabotage ya akina yeyote.
Ombeni special numbers za 2 digits Vodacom na...
Nina bachelor ya business in marketing ya Kenya Methodist university na Msc entrepreneurship ya ESAMI. Niko mtaani tu Wazee. Hii ya sensa wananizingua waalimu.
WAKUU HIVI MNAJUA SASA HIVI UKIENDA KU RENEW ROAD LICENCE NI LAZIMA ULIPIE NA FIRE STIKA? HATAKAMA HAIJAISHA NI LAZIMA, NA KAMA UMECHELEWA KULIPIA ROAD LICENCE UNACHAJIWA PENALT YA FIRE WAKATI HAIJAISHA! Mmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.