ntahakikisha nazalisha umeme wa kumwaga kiasi kwamba unit moja inunuliwe kwa shilingi moja ya kitanzania!! Umeme ndo siri ya maendeleo , hayo mengine ni kujazilishia tu.
Mashirika haya ya hifadhi za jamii wanawekeza kwenye majumba, umeme, madaraja nakadharika. Umefika wakati sasa wawekeze kwenye madini kama kuchimba dhahabu, mafuta..n.k. Madini yanalipa sana.!!! Kwa nini mnashindwa kuwekeza kwenye madini...kuna tatizo au kikwazo kipi????
BUSINESS ACTIVITIES IDEAS::::
1.Mining and quarrying of asbestos, mica, quartz, gem stones, abrasives, asphalt and bitumen, other non-metallic minerals, n.e.c.
2 Slaughtering, preparing and preserving meat, including sausage, edible animal
3 Processing of inedible oils and fats.
4 Canning...
Makaratasi huwa ni mengi ya kusahihisha somo la uraia/civics kwenye mitihani ya kitaifa ya sekondari, General study (GS) kwa sekondary ya juu (High School) na development studies kwa ngazi ya vyuo. Kwa hiyo waalimu wanaosahihisha URAIA wanapata hela nyingi kushinda waalimu wa PHYSICS...
:clap2:
Mimi nafikiri ni muhimu watu wapewe nafasi ya kuuliza maswali ya moja kwa moja kwa mgombea au mwanasiasa anayesimama jukwaani kuhutubia wananchi...hii ni kwa sababu mawasiliano ni two way trafiki...sio mtu mmoja aongee tuuu, kuwe na majadiliano rather than hotuba.
:clap2:
UNAJUA SUALA LA KUCHAGUA KIONGOZI KWA KUANGALIA ANAVYOONGEA NA KUCHANGIA KIFEDHA SIO ZURI KWA SABABU UONGOZI SIO FEDHA WALA MANENO...UONGOZI NI KUTOA MAAMUZI SAHIHI...HII YA KUCHAGUA WATU WANAOJUA KUONGEA KUMEWANYIMA HAKI YA KUWA RAIS MA-BUBU WENYE IQ KUBWA!!!
:clap2:
Mtihani utasimamiwa na baraza la mitihani chini ya uangalizi mkali,,,na sheria iwekwe kwamba kukitokea udanganyifu wowote adhabu kali kuliko zooote duniani itolewe. Kuna namna ya kupima IQ ya mtu na waalimu hufundishwa kupima IQ ya wanafunzi na watu wote kwa ujumla, kwa hiyo kama kuna...
:clap2:
Rais na viongozi wengine wa taifa hili wachaguliwe kwa kupitia mitihani, wapewe mitihani wafanye na atakayeonekana ana IQ kubwa kuliko woote Tanzania ndiye awe rais, wa pili awe makamu wa rais na kuendelea.
Richa ya IQ pia uadilifu uwe kigezo, kama mtu alishawahi kuiba au kukosa...
maoni yangu ni kwamba rais na viongozi wengine wa taifa hili wachaguliwe kwa kupitia mitihani,,,wapewe mitihani wafanye na atakayeonekana ana IQ kubwa kuliko woote Tanzania ndiye awe rais, wa pili awe makamu wa rais na kuendelea... Richa ya IQ pia uadilifu uwe kigezo, kama mtu alishawahi kuiba...
131. (1) The President(a) is the Head of State and Government;(b) exercises the executive authority of the Republic, withthe assistance of the Deputy President and CabinetSecretaries;(c) is the Commander-in-Chief of the Kenya Defence Forces;(d) is the chairperson of the National Security...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.