Search results

  1. E

    Hii Picha Ina Tafsri Gani??

    Aliyekuwa Mgombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi, Hawa Ngh’umbi akimshika kifuani kusikiliza mapigo ya moyo Mbunge wa Jimbo hilo, John Mnyika kabla ya hukumu ya kupinga ushindi wake kusomwa na jaji katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana. Source: Mwananchi
  2. E

    Mkapa apanda kizimbani Kisutu

    Baada ya kufuatilia kwa ukaribu mlolongo wa kesi na maswali na majibu kutoka mahakamani, ni wazi kuwa hii ni kesi dhidi ya 'Kikwete na Mahalu',sasa nashindwa kuelewa walitofautiana nini ama walishindwana katika 'deal'?? Na hivi kwanini huyu Rais wetu ana 'visasi' sana?, ni wangapi wanahusishwa...
Back
Top Bottom