Aliyekuwa Mgombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi, Hawa Nghumbi akimshika kifuani kusikiliza mapigo ya moyo Mbunge wa Jimbo hilo, John Mnyika kabla ya hukumu ya kupinga ushindi wake kusomwa na jaji katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana. Source: Mwananchi
Baada ya kufuatilia kwa ukaribu mlolongo wa kesi na maswali na majibu kutoka mahakamani, ni wazi kuwa hii ni kesi dhidi ya 'Kikwete na Mahalu',sasa nashindwa kuelewa walitofautiana nini ama walishindwana katika 'deal'?? Na hivi kwanini huyu Rais wetu ana 'visasi' sana?, ni wangapi wanahusishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.