Kwa tanzania hii inawezekana pia kupat wabunge ila electoral system yetu iko mikononi mwa serikali siyo kama hii ya kenya. Unakumbuka mwaka 1995 upinzani ulikuwa uchikue viti vyote vya Dar ila tume ilipoona vile ikaamuliwa kufuta matokeo yote. Tufanye kazi ya kuifanya tume yetu iwe huru...
By Standard Team
Cabinet minister Mr David Mwiraria and the immediate former Keiyo South MP, Mr Nicholas Biwott, have been barred from traveling to the United Kingdom.
Also barred are the Charterhouse Bank managing director, Mr Sanjay Kumar Ramniklal, and his brother, Mr Manoj Ramniklal...
GHASIA ASILETE GHASIA HAPA, kama nikusimamia sheria mbona anakuwa selective, kwani sheria ya rushwa haipo, sheria ya kulipabeli za maji haipo au hazijui. mavazi ya heshima ni yapi? mfano yeye kuficha uso kwenye hijabu ajui kwa wengine anakuwa tayari amekiuka maadili, maana yeye kama ofisa wa...
AIBU AIBU, ndugu wana JF siku moja nilikuwa nimesafiri kwenda katika vijiji vya wilaya ya mpwapwa wakati kodi ya kichwa (maendeleo)haijafutwa nikawa niko nafanya mahojiano ya kiutafiti na wanakijiji mara nikawaona wote wamekosa raha ghafla na wengine wakawa wameanza kukimbia nikadhani kuna...
Kingunge ni msanii tu, huo anaouita uzalendo ni nini hasa, kwa miaka mingi uzalendo kwa watawala wetu umekuwa ni kuwaogopa kuwapigia magoti na kuwasifu. kinyume cha hayo wewe si mzalendo. Na ni uzalendo wa jinsi hii ulioifanya nchi ikafika mahali ilipo. kingunge angekuwa mzalendo angekubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.