Nashangaa mpaka aue ndio akamatwe, tena mopaka polisi wajishauri kwa muda mrefu. Papaa msofe ni tapeli, labda nitumie neno mnyang'anyi kwani huwa anafanya waziwazi hasa kwenye viwanja maeneo ya mbezi beach, na hilo liko wazi kwa jeshi la polisi!! Amwadhulumu sana wasio nacho haki zao
Mungu...
Atekeleze kwa fedha gani?? Tangu June 2009 mpaka 2010 hajwahi kutimiza malengo ya kukusanya kodi hata mwezi mmoja, data tunazo. Alikuwa wapi miaka mitano iliyopita, mbona hatukuona project yoyote ya maana aliyofanya, sana sana aliishia kuzindua miradi iliyoanzishwa awamu iliyopita.
Huyu jamaa...
Wadau hii ikoje, mbona huyu jamaa anatufanya watoto wadogo. Hizi ahadi anazotoa atazitekeleza au kwasabau anatuona sisi mazoba hatutauliza? Ona hizi:
Mwanza: Serikali italipa madeni ya Nyanza yote, haya madeni yana maswali kibao, aliyeua Nyanza mpaka leo hajachukuliwa hatua, iweje leo...
Jamaa inasemekana ni mshikaji mkubwa sana wa Yona na hakujua kama jamaa atafikishwa mahakamani ghafla. Kuna uwezekano akatumia influence yake kuwasaidia hata mbele ya sheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.