Wakuu nimesoma huu uzi wa mkuu KIZUNGO leo nahisi ntalala usingizi wa majoka na ndoto mbaya tu! mimi ndiye katibu niliyemwachia kiti huyu dada sidra!
Ni kweli nilichonga mihuri ya kata 18 pamoja na matawi 62 ya same magharibi, hiyo ni order ya Basil lema - katibu wa mkoa, aliniahidi kwamba...
R.I.P Nelson Mandela! Mwambie Nyerere siku hizi tuna madini, gas na raslimali kibao ila zote wanafaidi wageni tunaambulia 3percent, elimu, afya nk vyote tunanunua! buriani nyota ya karne ya dunia
Mkijadili mjue kuna mungu! baba na watoto watatu wote wafanye upuuzi huo, basi tumwombe mungu ashushe kisasi kwa anayetesa watu hawa, kama walihusika mungu awaumbue japo ni ngumu, wote tuseme aamen tumkabidhi mungu, hii ni dhulma na mungu atalipa tu kwani ndiye hakimu pekee mwadilifu.
God is great! aliyeandaa kiinimacho hiki akumbuke kuna mungu, iko siku atalipa ghali kwa dhulma hii ya waziwazi, mungu simamia waja wako, wote tuseme aamen.
Nilimckia balozi anayehama China, Philip Marmo akihojiwa VOA, watz ambao wameshahukumiwa huko HONGKONG NA MACAU vifungo vya maisha ni zaidi ya mia. Zaidi ya hamsini walikamatiwa CHINA, hao hawana bahati mana wamehukumiwa kunyongwa wanasubiri siku tu; akiwemo mama mmoja anaemiliki maduka mawili...
Ww ni great ila tafuta mkanda wa prof DAVIS WATSON wa kampala, amechambua kila kitu kuhusu nasa na allien! wamarekani wamewahifadhi viumbe hawa huko darspace jimboni nevada, utaona mpaka picha ya master of allien, kumbuka usa ndo taifa la shetani (freemason) utapata namba ambazo ukitaka utajiri...
Rais mstaafu MWINYI alipigwa xray kiwanja cha ndege huko ughaibuni! ilimuuma akakemea sana dili hii ya vigogo wa cccm, wakamdharau matokeo ni hiyo idadi ya kutisha ya wabongo wanaosubiri kunyongwa kama sadam!
Hapa JK namsifu sana! tena tuliwalea sana, ak47 tz wameingiza wao, na kagame wao hana adabu alipomwambia rais wetu akipewa bandari ya dsm pekee analisha nchi nzima! kwanza anahatarisha uwepo wa EAC. wametuulia watu wengi kwa ujambazi na uharibifu mkubwa wa mazingira, hata tuliowapa uraia...
Nimemsikia marmo kwa masikio yangu akihojiwa VOA, mleta mada amesahau kdg ukiacha HONG KONG NA MACAU, watz zaidi ya hamsini waliokatwa CHINA, wamehukumiwa kunyongwa akiwemo mama mmoja anaemiliki maduka mawili ya nguo kinondoni, marmo hakumtaja jina. swali kama jk anawajua hawa vigogo wanaotuma...
Nakumbuka waliwahi kudeki barabara toka KIA hadi ARUSHA, ilikuwa ujio wa BUSH akasepa na gold akatuachia net! Nchi y2 tusisafiri yani tusizalshe tufe njaa! Kwn OBM analeta hela kwa kila mtz? Au ni kwa wachache watakaosaini mikataba ya kutapeli GAS YETU NA URANIUM YETU? Membe iv nae anaotaga urais?
Subirini mikataba itakayosainiwa! GAS, URANIUM, GOLD ETC. vyote ni siri ya MSAFIRI KAFIRI (JK) na OBAMA. Tutaendelea kufaidi 3% yetu walalahoi na waandishi mkichonga midomo, wembe ni uleule simlisikia amri ya MIZENGWE? Eti utawala bora ni kigezo cha ujio wa OBAMA! watu kuuliwa kwa mabomu...
Mfumo huu wa serikali tatu! Unapunguza nguvu kwa watanganyika kujadili katiba ya muungano, tuanze mjadala mpya wa katiba ya tanganyika iende na hii ya shirikisho, mana wanzanzibar wana katiba yao, bendera na wimbo wao wa taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.