Mpuuzi Mwampamba.huna la kutufanya tusikilize ushuzi wako.Naomba ukumbuke kilichokupa umaarufu ni chadema na hivyo nje ya chama huna influence yoyote."samaki hata kama ana nguvu kiasi gani ukimtoa kwenye maji anakuwa dhaifu hata mtoto anaweza kumdhibiti.wewe huwezi maarufu kuliko chama kaka...
Mpuuzi Mwampamba.huna la kutufanya tusikilize ushuzi wako.Naomba ukumbuke kilichokupa umaarufu ni chadema na hivyo nje ya chama huna influence yoyote."samaki hata kama ana nguvu kiasi gani ukimtoa kwenye maji anakuwa dhaifu hata mtoto anaweza kumdhibiti.wewe huwezi maarufu kuliko chama kaka...
Unauliza source?mbona aliri hilo hata alipokuwa anahojiwa kwenye mkasi juz kati?jamaa kesha kubali msemo wa wahenga"unaweza kudanganya kila siku lakini huwezi kumdanganya kila mtu kila siku".
Tuntemeke tumezoea uzushi wako.Naomba nikupe taarifa ya siri iliyozagaa mtaani eti na ww na masalia wote mtamalizwa kabla ya 2015.Kaongezee hiyo kwenye filamu unayokaribia kutoa.
Mwigulu ana mafanikio gani kisiasa?amekua meneja kampen Igunga wakashinda kwa hila na sasa kila mtu anajua kilichofanywa na mahakama,jimbo liko waz na kamwe hawawez kurudi kwenye ulingo,wanaijua vizur cdm,pili akaja Arumeru na 5bil na propaganda kibao za washili(wazee wa kimila meru) wakaishia...
Mwigulu ana mafanikio gani kisiasa?amekua meneja kampen Igunga wakashinda kwa hila na sasa kila mtu anajua kilichofanywa na mahakama,jimbo liko waz na kamwe hawawez kurudi kwenye ulingo,wanaijua vizur cdm,pili akaja Arumeru na 5bil na propaganda kibao za washili(wazee wa kimila meru) wakaishia...
Mimi sio shabiki wa mwigulu lakin katika hii couple yeye anaonekana mwanasiasa anayefahamu anachofanya zaidi kuliko huyo kihiyo mwingine mnafiki na mbumbumbu wa siasa.HAELEWEKI ANACHOSIMAMIA!Fedha na madaraka ndio shetani aliyemmaliza ZZK.Nataka nimkumbushe kwamba kujenga umaarufu inakuchukua...
Mimi sio shabiki wa mwigulu lakin katika hii couple yeye anaonekana mwanasiasa anayefahamu anachofanya zaidi kuliko huyo kihiyo mwingine mnafiki na mbumbumbu wa siasa.HAELEWEKI ANACHOSIMAMIA!Fedha na madaraka ndio shetani aliyemmaliza ZZK.Nataka nimkumbushe kwamba kujenga umaarufu inakuchukua...
Tutafunga na kuomba kwa Mungu ikiwa mbinu zitaendelea juu ya rais wetu ajaye(Dr SLAA).Hao maadui zake watapambana na nguvu ya Mungu.Tulifanya kwa mwanamapinduzi Lema na leo haki imesimama."MENE MENE TEKELI NA PERESI"Mwenye masikio na asikie.
Wewe ulipataje uongozi mkubwa hivyo ndani ya chama maana umekaa kama dungaembe tu la mitandaon.Hivi na wewe unawadanganya watu una jasho lako katika chama?mimi ni kiongoz ndani ya chama lakin sikufaham.mpiganaji gani wewe?Endelea kung'ang'ana kumtetea ZZK labda unataka KUOLEWA who knows!
Wewe Nape jivue gamba.JUZIJUZI Ulikuwa unazunguka nchi nzima ukiwatukana mapacha watatu ukidai umewapa siku 90 waondoke vinginevyo wangeondolewa,majuzi ulikuwa na Lowasa Arusha mkidai mnajenga chama sasa Nape kuna mwanasiasa mnafiki kama wewe?UNATIA AIBU, tulidhani ungeleta changamoto mpya na...
Kichefuchefu!Hamchoki?Mimi nawahakikishia hamtafanikiwa.Hiv lakin mbona mnajichosha kumsafisha huyu kilaza mpenda madaraka kama nini!Uenyekiti autake,kiongozi kambi ya upinzani ang'ang'ane,urais nao anautaka,hana nia ya utumishi bali ujiko tu.mbona ni naibu katibu mkuu,naibu wa kiongozi wa kambi...
Kichefuchefu!Hamchoki?Mimi nawahakikishia hamtafanikiwa.Hiv lakin mbona mnajichosha kumsafisha huyu kilaza mpenda madaraka kama nini!Uenyekiti autake,kiongozi kambi ya upinzani ang'ang'ane,urais nao anautaka,hana nia ya utumishi bali ujiko tu.mbona ni naibu katibu mkuu,naibu wa kiongozi wa kambi...
Kichefuchefu!Hamchoki?Mimi nawahakikishia hamtafanikiwa.Hiv lakin mbona mnajichosha kumsafisha huyu kilaza mpenda madaraka kama nini!Uenyekiti autake,kiongozi kambi ya upinzani ang'ang'ane,urais nao anautaka,hana nia ya utumishi bali ujiko tu.mbona ni naibu katibu mkuu,naibu wa kiongozi wa kambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.