Sasa hivi wanapita masokoni/mitaani na mfuso wao(kama mashirika ya simu) ....wanapiga muziki na kuuza hisa kwa shs 5000. ...sijui kama wanaoshawishiwa wanalewa kitu wanachoshawishiwa kununua.
Nimeagiza mzigo aliexpress kwa voda mastercard,,,,, hakikisha umeweka fedha inayotakiwa katika card kabla ya kujaza hizo cvv etc etc......unaweka hela kupitia *150*00#
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.