mumewe ana mtatizo ya uzazi sasa mimba atakuwa ameitoa wapi. Hauoni kuwa utakuwa umesababisha matatizo kuanzia kwa huyo mwanamke, wewe hadi huyo mtoto ambaye hana hatia maana huyo baba hatakubali kuishi na damu isiyo yake Harafu rafiki yangu sikuhizi wanstaili moja mtaingia chumbani then jamaa...
jamaa ni kilaza cha zaidi ni wa ki**ke maana mwanaume harisi huwezi kukaa unafuatilia furani kapanda ndege leo nani kala nini huna kazi za kufanya ila sasa kunaumuhim wa kuprosses jukwaa la watu kama nyie maana mnakera tunataka kucheka sio kujua nani kala nini.
tunajua kupenda ni upofu lakini si ulemavu so jamaa kuwa makini na hakuna jambo ambalo litakufanya ujute kama utakapo kosea kuchagua mke wa kuoa dem kashatoa mimba karibu ya tano kingine anatembea na babazake tayali laana hiyo unaweza ukazani wanao kumbe shemeji zako lakini ni sawa kuwa wanawake...
du!! umenikumbusha kuna jamaa kila akitaka kukitupa analia tena kwa mayowe makubwa sasa ikawa ukweni mkewake akambania kwa sababu ya kulia siku ya pili jamaa akawa kama mgonjwa mke ikabidi ampe kilicho tokea jamaa akaana polepole Siulisema ntalia mboona silii,Siylisema ntalia mbona ssliiii,mara...
Mwambie nimekoma sitarudia kukusaliti mkewangu (UKIMWI UPO UTAAIANGAMIZA FAMILIA) tupo wangapi? na wangapi kati yao wameathilika kuwa makini tulia ulee watoto
Naomba nikutie nguvu ktk kipindi hiki kigum kaka kiiza MUNGU ndiye kiongozi wa kila jambo mtegemee yeye mwisho utayaona mapenzi yake Bwana alitoa na Bwana ametwaa na jina la bwana libalikiwe
Mimi binafsi nipo hapo PENZI LA UIGIZJI, penzi hili ni tamu sana na halina usumbufu kwangu, mnakutana hasubui, jioni kimeeleweka, asubuhi yake mbio kutafuta maisha huku mawazo yakiwa kwenye kazi badala ya kumuwaza mwanamke, penzi hili halina stress, na unapokuwa stress free anaweza kuyafanya...
Habari ya muda huu wana JM ninayo furaha kubwa kuwa nanyi ktk kubadilishana mawazo na kusaidiana pale tunapopata muda katika pitapita yangu nimekutana na hiki kitu hebu kiiangalie na ujiulize wewe upo ktk aina ipi kati ya hizo...
a na b yote c usizidishe fanya kwa kiasi utapendeza
she dust her face as the wizard getting lady for the mid night dance
her lips is like growing charcoal
wazee wa zamani tulikuwa tukikchukia ili kuondoa mawazo unaandika yote yaliyokusababisha uchukie kisha unayafungia kwenye chupa unakwenda kutupa hasila zinakwisha Sasa wewe sijui nikuweke kundi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.