mh? hapo pana walakin.......natumai waelewa maana ya acc binafsi. makanisa yoooote yana bank acc, hata miradi ya kanisa ina acc zake. tafakari kidooogo tu.....
weka facts ni kwana namna gani anabaniwa badala ya kubwabwaja, weka facts ni kwanamna gani waona slaa kapoteza mvuto na kwa vipimo vipi, hapo ndo tutakuelewa. kama waamini lipumba ni msomi basi amino pia yupo ktk nafasi nzuri zaidi kuliko wewe ya kuelewa iwapo anabaniwa au anamvuto kiasi gani.
kwamba heri kuwatajirisha wageni kuliko watanzania wenye gesi yao? nilizima watanzania washiriki kikamilifu kuanzia hatua ya kwanza ya uendelezaji wa miradi ya gesi hata kwa partnership na makampuni ya nje zaidi ya hapo yatakuwa Yale Yale ya madini. tujifunze jamani.
VP kuhusu ukomo wa ubunge ktk rasimu ya katiba ya ccm mmeamuaje? si wajua mh sita ni mbunge toka miaka ya sabini hivi ni kweli jimboni kwake hakuna wenye uwezo zaidi yake? tafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.