mi nashangaa jambo, moja. kwani kuna ulazima gani wa yeye kununua eneo hilo ambalo watu tayari wanaishi, tz si kubwa tu, kwanini wasingempa maeneo mengine, kuliko kuhamisha watu then kuwapeleka mbali zaidi. hakuna mji unaojengwa, mji huwa unakuwa wenyewe taratibu. hizi haraka za serikali tu...
mhh! yaani lowassa ninayemjua mimi au ni mwingine? hatumuhitaji huku cdm! tena akaembali kabisa. na ikiwa viongozi watampokea, hata mm ntapoteza imani na chama.
yaani lowassa akigombea urais ndio mazishi ya ccm yatakuwa yamewadia rasmi. tz ya sasa si ile ya juzi, sikuizi hata wapiga debe wanajua siasa tena wanafuatilia mbaya kabisa. likisomamishwa jiwe na lowassa, hata mimi ntachagua jiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.