Sio hivyo tu ni ukweli usiopingika haya anayafanya si kwa mapenzi yake bali ni kutokana na hali tete inayosababishwa na upinzani.Ndani ya CCM wachafu ni wengi mno kinachofanyika mambo yanapoharibika ndipo kale kamchezo cha kutoangaliana usoni hufanyika, hata hawa hanaofia haka kamchezo...
Kaka Abdulahsaf unayoyaongea ni kweli kabisa suala la kuwapeleka Mahakamani Mawaziri kwa Kikwete ni SUMU,sumu ambayo si hawezi kuionja Mheshimiwa huyu bali karibu viongozi wote wa nchi hii.Shida inakuja hapa:
Viongozi waliopo Serikalini wengi wao wameingia kutokana na urafiki miongoni mwao...
Sio hivyo tu ni ukweli usiopingika haya anayafanya si kwa mapenzi yake bali ni kutokana na hali tete inayosababishwa na upinzani.Ndani ya CCM wachafu ni wengi mno kinachofanyika mambo yanapoharibika ndipo kale kamchezo cha kutoangaliana usoni hufanyika, hata hawa hanaofia haka kamchezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.