Watanzania tutaendelea kuangamia kama tutakubali kuongozwa na kuwaachia serikali watu ambao wanafanyiana chuki za kitoto na zisizokuwa na msingi...hawa watu ndo wataofanya nchi yetu iwe kwenye ramani ya alshabaab maana wanaonyesha dhahiri hawawezi kujiongoza kama chama na hawataweza kuongoza...
Asubuhi niliangalia mahojiano clouds tv asubuhi leo na mwanasheria wa zitto kabwe na nnaona chadema wanachofanya ni chuki binafsi, na nia yao ni kumharibu zitto kabwe kisiasa kwani hata kama mtu amevunja sheria za chama haiwezekani mtu akaenda kutangaza kwenye mtandao kabla mlengwa mwenyewe...
Niliwahi kusoma hii makala kipindi cha nyuma
http://www.naturalnews.com/021472_prescriptions_prescribing_errors.html
Watu 7000 hupoteza maisha kila mwaka kutokana miandiko mibovu ya madaktari wanayotumia kuandika prescription zetu za dawa na hivyo kusababisha makosa katika utoaji wa dawa na...
Mimi naona hili tatizo la ushoga ni psychological problem na sio physical.., kuna watu wanaopata malezi mazuri kutoka kwa wazazi wote na bado wanaishia kulekule, hapa dawa ni serikali kueleza msimamo wake halisi juu ya ushoga na kama serikali hairuhusu hii kitu dawa ni kuweka sheria kali juu ya...
Usiogope kupotezwa...ni idea na uwezo kama wako ndio unaofanya nchi zipate heshima na maendeleo makubwa....ushauri wangu ni kutuliza kichwa endeleza ubunifu huohuo na jitahidi kuomba sponsorship na funding kwa watu waliowekeza kwenye technologia kama rostam aziz na ngowi....na pia ni vizuri...
Serikali yetu ya kibabe sana hapo badala solition iwe ni utawala wa hospitalI hiyo kulipa madeni ili waendelee na kazi zao...wao wanabadili kampuni ya ulinzi ili wawadhulum waliodai haki zao na pia kuwadhulum hiyo kampuni mpya...me naona kampuni zote za ulinzi zingegoma kupfanya kazi na...
Ni kwaajili ya self defense baada ya kupata vitisho(vitisho vya maisha) aidha ninunue silaha kuokoa maisha yangu pindi itakapohitajika au nisubiri kuuwawa
Takriban siku mbili zilizopita, kulikuwa na picha za uchi za mwanafunzi wa chuo cha Muhimbili aliyetambulishwa kama (Beatrice Aiko) zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii.
Baada ya baada ya kama siku moja ikasemekana picha hizo ziliwekwa na mpenzi wake wa zamani na baada ya hapo kiliwekwa...
jamani kuna iphone 3g 8 GB ipo kwnye state nzuri ila ina screen ina scratch kidogo ila hilo halina tatizo price ni 170,000 if intersted pm me mzigo upo dar,have a nice day ladies and gentlemen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.