Search results

  1. M

    Picha: Yaliyojiri Dar na kwingineko Oktoba 19, 2012

    Wanazidisha umaskini nchini ambao hauna tija yoyote
  2. M

    usiku wa leo utaamua Tanzania inakwenda wapi..

    Maadam Rais karudi, na imani Rweyemam atakuwa ameshamwandalia wazee wa Dar aongee nao, kwani ndivyo alivyoamuru hayati Mganga wake.
  3. M

    Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

    Nadhani sasa Rweye anampangia mkutano na wazee wa Dar ili awaeleze, maana haongei na wahusika kama alivyoamuriwa na mganga wake
  4. M

    New movies 2015- mabwepande and the wrath of the pliers

    Katika onyesho la nne, watatafutwa watu wengine ambao watabebeshwa huu mzigo wa nani mhusika, maana ili picha iishe salama lazima watafute mtu watakayemtwisha mzigo walioubeba maana unawaelemea nisawa na kubeba gunia la mavi usipolemewa litakunukia, Inavyoonekana mkuu wa kaya amewapa muda...
  5. M

    Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

    Umekuwa kilaza wakuanza 2nd half ya mwaka huu, hawako competent, hawana uzoefu, kwa hiyo serikali inaajiri watu wasiokuwa competent.....MY GOD, Tena anasomesha watu ambao hawako competent......It is terrible, Mbaya zaidi inawadhaminisha maisha ya watanzania million 40. Any way, nisamehe...
  6. M

    PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

    Kilaza akimshauri kilaza kitu naye akafuata anaonekana kilaza zaidi, waliandamana kwenda kwa wagonjwa au kwa madaktari? Ila nawasifu kwa maana maisha ya chuo tight wamepewa perdiem wafanye hivyo its good, je hiyo ndio njia ya kumaliza tatizo, noi sifuri kawashauri akina ziro
  7. M

    Walio nyuma ya mgomo wa madaktari ni hawa...

    Mchawi mkubwa ni Serikali yenyewe, kwa matumizi yasiyo ya lazima, kama kununua mashangingi mafano tume ya kuratibu katiba , safari ambazo sio muhimu na convoy kubwa, matumizi makubwa ya sherehe kama miaka 50 ya uhuru, tume zisizo na tija, posho kwa viongozi kuwa kubwa sana mfano wajumbe wa...
  8. M

    JK kawasili hapa Rwanda, kwenye Sherehe za miaka 50 ya Rwanda

    Hana stress wala nini. Kaenda kuchukua per diem yake
  9. M

    Kamanda Chagonja amtisha na kumkejeli Dr. Ulimboka

    Maadam amesema msangi hajahusika, basi yeye anafahamu waliohusika, awataje basi that is the only solution pili kama hatumii kisigino kufikiria kama serikali yake kesi iko mahakamani waiache mahakama iendeshe kesi atakayepatikana na hati atajulikana. Tatu hiyo tume mbona iliundwa haraka sana na...
  10. M

    Upotoshaji huu wa Mwigulu Nchemba ni kwa faida ya nani?

    Among illiterate I ever heard in the world the man has the 1st class degree of illiterate as he said himself, he was honored 1st class degree of illiterate
  11. M

    Mshahara wa wabunge wapanda mpaka 11,000,000/-

    Kwa hali hii migomo ya wafanyaakzi haitaepukika kamwe, lilobaki ni kwenda kazini, soma magazeti rudi nyumbani ukayasikilizie maumivu ya ugumu wa maisha
  12. M

    Ni nani msafi CCM?

    The bird of the same feather fly together, tangu lini chiwa akaruka na kunguru
  13. M

    Makinda kutoa Tamko kuhusu Mbunge wa Bahi

    Chama kniajipanga kumsafisha ili kuondoa aibu kama walivyofanya alivyotuhumiwa bungeni spika akakaa kimya
  14. M

    ushauri kwa chama cha mapinduzi

    Comrade all what you tell them they know, but they pretend that its wrong and what they do now is correct, they try to comfort there soul and no peoples soul, that is the different between CCM CDM
  15. M

    Mchungaji Gwajima na tabiri zake: 'Tanzania Mpya' inakuja

    Ukikalia kuti kavu watu watakuambia utaanguka nahuo sio utabiri ila nimwonekano wa hili halisi inlivyo
  16. M

    CCM hili la Jangwani ni kosa la kiufundi

    Litasanuka tu, wiki hii utasikia mimi sikupewa posho yangu, mimi nilipewa nusu, wenye magari nao wataanza kuvamia ofisi zao kudai pesa, vuta pumzi utasikia mimi nilifanya route 5 nimelipwa 2
  17. M

    Which category are you?

    I am Good husband and luck enough married to good wife
  18. M

    Mhe. Wassira anapokua msemaji wa CHADEMA...

    Kama huna chakusema kuhusu maisha yako, au familia yako utakuwa unaisemea familia ya jirani au maisha ya mwenzio. Kwetu tunasema usipomsifua mkeo utamsifia mke wa mwenzio.
  19. M

    Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

    To him is one way of winning popularity, mind you unless he win popularity at this time 2015 he will not granted with funds for campaign They are there not for the sake of the part rather for the sake of there life and there family, the promise to make a bridge even where there is no river, ''...
Back
Top Bottom