Katika onyesho la nne, watatafutwa watu wengine ambao watabebeshwa huu mzigo wa nani mhusika, maana ili picha iishe salama lazima watafute mtu watakayemtwisha mzigo walioubeba maana unawaelemea nisawa na kubeba gunia la mavi usipolemewa litakunukia, Inavyoonekana mkuu wa kaya amewapa muda...
Umekuwa kilaza wakuanza 2nd half ya mwaka huu, hawako competent, hawana uzoefu, kwa hiyo serikali inaajiri watu wasiokuwa competent.....MY GOD, Tena anasomesha watu ambao hawako competent......It is terrible, Mbaya zaidi inawadhaminisha maisha ya watanzania million 40.
Any way, nisamehe...
Kilaza akimshauri kilaza kitu naye akafuata anaonekana kilaza zaidi, waliandamana kwenda kwa wagonjwa au kwa madaktari? Ila nawasifu kwa maana maisha ya chuo tight wamepewa perdiem wafanye hivyo its good, je hiyo ndio njia ya kumaliza tatizo, noi sifuri kawashauri akina ziro
Mchawi mkubwa ni Serikali yenyewe, kwa matumizi yasiyo ya lazima, kama kununua mashangingi mafano tume ya kuratibu katiba , safari ambazo sio muhimu na convoy kubwa, matumizi makubwa ya sherehe kama miaka 50 ya uhuru, tume zisizo na tija, posho kwa viongozi kuwa kubwa sana mfano wajumbe wa...
Maadam amesema msangi hajahusika, basi yeye anafahamu waliohusika, awataje basi that is the only solution
pili kama hatumii kisigino kufikiria kama serikali yake kesi iko mahakamani waiache mahakama iendeshe kesi atakayepatikana na hati atajulikana.
Tatu hiyo tume mbona iliundwa haraka sana na...
Among illiterate I ever heard in the world the man has the 1st class degree of illiterate as he said himself, he was honored 1st class degree of illiterate
Kwa hali hii migomo ya wafanyaakzi haitaepukika kamwe, lilobaki ni kwenda kazini, soma magazeti rudi nyumbani ukayasikilizie maumivu ya ugumu wa maisha
Comrade all what you tell them they know, but they pretend that its wrong and what they do now is correct, they try to comfort there soul and no peoples soul, that is the different between CCM CDM
Kama huna chakusema kuhusu maisha yako, au familia yako utakuwa unaisemea familia ya jirani au maisha ya mwenzio. Kwetu tunasema usipomsifua mkeo utamsifia mke wa mwenzio.
To him is one way of winning popularity, mind you unless he win popularity at this time 2015 he will not granted with funds for campaign
They are there not for the sake of the part rather for the sake of there life and there family, the promise to make a bridge even where there is no river, ''...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.