Mimi nimekuwa nikinunua bidhaa kupitia ebay.com, lakini sasa nilitaka kununua kitabu kupitia amazon.in imekuwa ngumu coz wao wanaship bidhaa zao ndani ya India, sasa nilikuwa naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia kujua ni namna gani au kuna courier ambaye anaweza kunipokelea mzigo wangu...
Mimi nimekuwa nikinunua bidhaa kupitia ebay.com, lakini sasa nilitaka kununua kitabu kupitia amazon.in imekuwa ngumu coz wao wanaship bidhaa zao ndani ya India, sasa nilikuwa naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia kujua ni namna gani au kuna courier ambaye anaweza kunipokelea mzigo wangu...
Humu JF kuna watu wanadhani wakitumia fake ID wanasahaulika jamaa anaboa
Mods wafunge hii thread maana ni dhahiri kwamba huyu jamaa anatoa taarifa za uongo. Mwaka Jana alikuwa anafanya kazi TCU, mwaka huu anameomba kupitia TCU kajichagua kozi ya afya na mkopo kakosa halafu analalamika, wakati...
Kuna mdogo wangu kachaguliwa hizo course mbili lakn vp kuhusu solo la ajira la environmental health scientists, wanaajiriwa direct serikalini au hadi nafasi itokee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.