Wabunge wanakomaa wasikatwe kodi katika kiinua mgongo. Wanaitisha serikali na kuitaka kusitisha mpango huo, wajinga.
Kama rais akiamua kusimamia alichokiusudia hakuna atakayethubutu kutopitisha bajeti miongono mwa wabunge wapenda maslahi kama hawa wa CCM.
Ibara ya 90 (2) (b) ya katiba ya JMT...
Labda kama mtu hapa tz ni foreigner ndio angeomba maelezo. Kufa kwa huduma za serikali ni hujuma.
After all amesema atampangia majukumu mengine. Lile la kusimamia vifaa visife ameshindwa
Mauaji ya mwalimu Mvungi ni kielelezo
cha jinai iliyopitiliza. Uchunguzi wa kina
ni lazima ufanyike tena beyond recently
police crime investigations and
findings.
Mauaji ya mwalimu Mvungi ni kielelezo cha jinai iliyopitiliza. Uchunguzi wa kina ni lazima ufanyike tena beyond recently police crime investigations and findings.
Hivi hao madada wa tanzania kugawa kwao ni huko jkt tu? Mbona ya vyuoni hamyasemi? Gengeni na kwa machinga wanapotaka unafuu wa bidhaa? Kwenye siasa wanapotaka upendeleo? Msitie chumvi maneno kwa hila nyepesi, ubakaji haujawahi kuwa rahisi kwa kiwango hicho kinachozungumzwa sasa.
Sina utaalamu na mambo ya jeshi lakini mimi ni mwalimu kitaaluma na nafundisha sekondari. Nachelea kusema kuwa jambo hili linatiwa chumvi sana na nahisi kuna ukweli watu wanauyumbisha ili kutia doa nia nzuri ya serikali ya kujenga uzalendo kwa vijana wetu. Kifo hutokea popote, tumuombee...
CCM, TANZANIA NA CHANGAMOTO ZA UCHAGUZI MKUU 2010
Chama cha Mapinduzi hivi karibuni kimeunda kamati inayoongozwa na rais Mstaafu alhaji Mwinyi ili kuchuguza chanzo na baadaye kupendekeza njia sahihi ya kuondoa tofauti zilizozuka kati ya wabunge/wawakilishi na serikali ya chama hicho.
Haja ya...
Hiyo haikuwa bonge la mtihani, kama ungekuwa na utashi binafsi usingeduu na demu huyo. kuna kitu watu hawafahamu nacho ni; wanaume wanaodhani kuwa bado wanawatumia wasichana kama vyombo vya starehe wanajidanganya. ni wasichana ndo wanaowatumia wanaume kama vyombo vya starehe au vitega uchumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.