Tofauti ya calculation ni uwezo wa mtandao unaotumia na idadi ya users na network waves distance pamoja na uwezo wa kifaa chako! Ukijipanga hapo utapata 100MPps kumbuka hiyo ni speed at some Moments within 3g+
Kaka hapo hauko sahii nikmaana mtu na mwenziwe kuachiana simu ndio kupekuana! Mke wako akiwa anakuomba simu kumpgia mtu mwingine ushindwe kumpa kisa atakupekua so far likewise..
Talia tatizo wewe hujaipata na njia nzuri ya kusaidia kunielewa ukishindwa hapo jiongezze ukifika umeshindwa kujiongezza subir tu utaona! Sasa kuna zile applications za kucopy file zinaonyesha speed ya kucopy utaona speed yake! Then utajua nn naongelea kaa wewe na kifaa chako!
Kama Upo dar na arusha mwanza Town dom mbeya mjini na pembezoni network ya maeneo hayo sio 3G ni 3G+ sasa kama alikuwa anapata pungufu ya hapo acheck bandwidth ya simu yake ama kifaa chake
Na mimi nimekwambia sasa hivi tanzania hiyo Tech ya 2g na 3g inapatikana vijijini mjini ni 3G+ na sasa kuna LTE ya kizushi! I na unaposikia Tech ya 3g+ ujue unaelekea kwenye 4g! Mfano halotel wameanza na Tech ya 3g hamna 2g wewe umeelewje afu tuendele! Am hujui maana ya 2g ama 3g ama 4g?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.