Nashukuru sana kwa wana jf waliotuwekea link ya matokeo ya interview tar 8/12. Naomba kujua hiyo oral interview ya tar 13/12/2012 ya Land Officer itaanza saa ngapi na wapi? Nimejaribu kufungua website yao inaaandika Account suspended. Na link mliyotuwekea humu jamvini inaonyesha tarehe ya...
Nashukuru sana kwa kutujuza hayo matokeo. Naomba kujua hiyo oral interview ya tar 13/12/2012 ya Land Officer itaanza saa ngapi na wapi? Nimejaribu kufungua website yao inaaandika Account suspended. Na link mliyotuwekea hapo juu inaonyesha tarehe ya interview tu, vipi kuhusu muda na venue? Msaada...
1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/C/70 4 Desemba, 2012
KUITWA KWENYE USAILI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawatangazia waombaji wa fursa za ajira kwa tangazo lililotolewa tarehe...
Utumishi wameita kada mbalimbali kwenye interview tarehe 6,7,na 8 December 2012. Tembelea website yao. Hongereni kwa walioitwa Mungu awasaidie mkafanye vema, na wale ambao hajaitwa hakuna sababu ya kukata tamaa wakati utafika tu.
TRA hata waliosoma pale chuo cha kodi (TRA_ITA) kupata ajira pale ni shughuli pamoja na kwamba wanakuwa wamewafundisha na kufanya nao kazi kama field kwa kipindi chote walichosoma hiyo postgradute diploma ni taxation kwa miezi 18 na jamaa unakuta wana either upper or lower second class. Mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.