Member JF jamani sisi watanzania tunakwenda wapi?
Manake haya mambo ni michanganyo.
Maadili yameporomoka,kwa habari nilizoziona juzi tu hapa kwenye STAR TV ni za kuuzunisha.
Wana JF wezangu, hizi habari nilizozipata kutoka kwenye chombo hiki cha habari zikieleza kwamba,nanukuu(mtoto...
tafadhali mr. Fuso nami ni mwanachama wa jf japokua nitakua nimeingilia kati uniwierathi,mimi nilikua na hamu ya kuipata hiyo story ya njama kuppitia internet tafadhali niwezeshe kuipata hiyo story pkeas i bag you.
Hodihodi jamani katika uwanda wa elimu.Naombeni kuuliza swali iliniweze kumjibu yule aliye niswalika swali,HIVI JAMANI MWANAUME MWENYE TEST COUSE MOJA UWEZA KUMSABABISHIA MWANAMKE UJAUZITO?Tafadhali waalam maombeni maelezo kwa kina.
member wa JF sina niambaya kwa sababu hizi ni tetesi nilizo zisikia kwa mda mrefu sana,nilitaka tu kudhibitisha je kunaukweli wowote hapa?ila bado jibu sijalipata manake wengi wao wamemaindi hii tetesi.Nakama nimewakosea maomba samahani.
usemalo si kweli mkuu mimi ni kichanga wa JF, kama inawezekana ungeangalia orodha wa memba wabya wa JF nami nimo umo. ASANTE KWA KUNIKARIBISHA KATIKA JF MEMBERS.
ndio mwenyewe mkubwa umegusa mulemule,sasa unaweza kunifanyia mpano wa kunitumia linki yake au kuniwezesha niweze kuipata full story ya huyu jamama katika mtandao wa JF TAFADHALI NAOMBA NITUMIE.[kama sikosei kiliandikwa NJAMA]
Hebu waungwana wa JF niambie eti nasikia tetesi WAHEHE wanakula kitoweo kiitwacho mbwa hivi ni kweli au ni hadithi tu.NAOMBENI MAELEZO AKINIFU MIMI KICHANGA WA JF.
HODI JF MEMBERS mimi ni kichanga katika JF members.Jamani naombeni yeyote mwenyeuwezo wa kuniwezesha kuipata story ya willy gamba katika mtandao unisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.