Hiii pia ni pamoja na Tanzania posta corporation, ata hao ma HR waliingia hivyohivyo kwa kubebwa ndio maana hii tabia inaendelea na wanashortlist vijana wengi ili kuwapotezea muda na ela zao kwa kuwa hawa-walipii accomodation. Hii tabia siipendi. Tuna wajua kwa majina tutawataja tuuu
heri ya mwaka mpya na poleni na kazi za kuerimisha, nilikuwa naitaji ku-copy dvd moja ya bongo movie na computer ina DVD RW, ila nilipo iweka hiyo DVD na kuanza kui-copy kwa program ya shampoo na nero kwa copy dvd iliniletea error message. Nisaidieni maujanja ya kuicopy.
I have something in Mind
There should be a way to ensure that these recruitment agents and alike pay whoever appear for interview upon their invitations.
Since they have been too unfair; I am not very sure If these HR do do preliminary screaming of the applicants cv's and letters before...
POLENI NA KAZI ya ku-elimisha jamii, nina USB drive angu ilikuwa na data zangu sasa nikiweka kwenye Computer inakuwa Haionekani. sasa nisadieni je? nifanye nini ilinipate data zangu
Hi!..everybody.
Nahitaji simu/PDA yeyote yenye spesification zifuatazo:
1. Iwe Windows mobile 5.0 au 6.0
2.Iwe na Infrared port
kwa kukodisha kwa two weeks na utapewa simu ya kutumia kwa
kipindi hicho.please tuwasiliane kwa No.0713-635095.
Hi!..everybody.
Nahitaji simu/PDA yeyote yenye spesification zifuatazo:
1. Iwe Windows mobile 5.0 au 6.0
2.Iwe na Infrared port
kwa kukodisha kwa tu week na utapewa simu ya kutumia kwa
kipindi hicho.please tuwasiliane kwa No.0713-635095.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.