naomba kufahamu kituo kizuri kwa wanaorudia mitihani chenye hostel kati ya morogoro na dsm naomba tusaidiane maana kijana wangu kaharibu vibaya yaani hata ngazi ya cheti hapati.
nimehangaika muda mrefu kutafuta kazi nilipga interview nyingi mpaka nikawa nikipigiwa simu ya interview hata sina wasiwasi ikawa ndo kama maisha yangu kupga interview daily,mwaka jana nikaomba utumishi nikafanya interview duce halafu library matokeo yakawa hola nikaitwa tena mwl nyerere...
wewe mwenyewe unauwezo gani wa ku analyze unaropoka tu kutafuta sifa na humu hakuna hata mtu aliyekusuport kwa kauli yako huyo nikijana mwenzetu hata kama kafanya kosa anatakiwa apewe adhabu ambayo itamfanya ajirekebishe sasa unavyotaka anyongwe atarekebisha vp makosa yake?usichotaka kikufike ww...
hizo ndege kabla hazijakamilika israel ameshatuma maombi na yeye apewe angalau moja tu zitakapokamilika wala hana mpango wa kuumiza kichwa na hatoi hata mia anasubiri mzee akishakamilisha apewe msaada.
hao vijana kwani huo unga wanalishwa kinguvu,wenyewe wamekata tamaa ya maisha na sisi tunawaletea tu,eti ungekua karibu ungemlima risasi hao walomzunguka wote wanazo risasi mbona hawajampga sababu wana akili timamu.
hyo dawa ipo kuna jamaa yangu anatoka handeni kuna sehemu inaitwa chanika anakuja tarehe 28/2/2013 anakuja dsm kwa shughuli hyo tu kuna mabosi wenye vibamia wamemtumia nauli aje tena ukimpata hapa dsm utapunguza gharama kwanza umeletewa huku dsm tofauti na wengne wanaenda tanga kuzifuata.uzuri...
me sifurahii hata kidogo kuuwawa kwa huyu kiongozi wa kidini sababu wa znz madai yao makubwa nikutaka kuvunjika kwa muungano na huyu padri wala siyo kiongozi wa kiserikali kusema yy ndo anawakwamisha,hila kifo hk kitakua funzo kwa wakristo wote waone jinsi gani waislamu wanavyouawa ndugu zao...
mambo aliyoyakataza nyerere ndo haya mtu anasifa zote za kugombea hila haumtaki 7bu muislam kwahyo unataka mchungaji ndo awe rais,hv katika akili yako watu wanaoongoza kwa ukabila na udini ni akina nani km cyo wachaga kama hauamini nenda tra mpaka wanaongea kilugha ofisi na wote waliingia...
ndio maana nakwambia israel anaogopa kuishambulia iran,mbona kuishambulia syria na sudan ameenda mwenyewe hila iran anataka apewe support na us,france,nato na uk anajua akienda mwenyewe nini kitamtokea nyinyi mpeni kichwa apeleke ndege kama alivyopeleka syria na sudan.
kama hyo top ten ndo iko hivyo basi iran yupo fit sana maana kama huyo israel anapata misaada ya kila aina kutoka us anasifiwa ana wanasayansi bora duniani amekuwa 10,iran haruhusiwi kununua silaha zaidi ya miaka 20 sasa pia yupo kwenye vikwazo lakini amekuwa 18 amepitwa na france nafasi 1,je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.