Nadhan ni mfumo tulio nao unachangia sana katika suala zima la udendaji katika wizara mbalimbali, kwa mfano Wazir hawez kumwajibisha mkurungezi wake ktk wizara husika ambaye ndio mtendaj mkuu ktk wizara. Hivyo bas hata Prof Muhongo Mfumo unaweza ukawa kikwazo kwake hata kama atakuwa committed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.