we ulitaka akamuombe nan na wew ndie mpenz wake? Ha2wez jua ww ulijcmt nin cuz manen cku zot humfung mtu. Cku ya kwanza kua nae ulimpa ahad gan, zaid ya kumwmbia usihof am here 4u
yaan mpaka machoz yananitoka sajuki huhuyu ndo wa kuwa vile kama kibabu, bongo movie mpo wapi? Sioni sababu ya kuendelea kuigiza maana kazi yao kuelimisha jamii na kuburudisha lakin wanafaidika na nin?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.