Search results

  1. M

    Looking for Girlfriend

    am interestd
  2. M

    Umenitoka Moyoni..

    we ulitaka akamuombe nan na wew ndie mpenz wake? Ha2wez jua ww ulijcmt nin cuz manen cku zot humfung mtu. Cku ya kwanza kua nae ulimpa ahad gan, zaid ya kumwmbia usihof am here 4u
  3. M

    Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu

    mnaropoka xana kwa mazuri mpongezen achen wivu, nyie mmechangia sh ngap mbna wakuda hvyo?
  4. M

    Yanga kufungwa 5-0 na Simba je wana Yanga wamejiunza nini?

    yaan naona simba waliwahurumia yanga tano bila c mchezo, yanga waache marumbano badala yake wajipange la sivyo watalia tena
  5. M

    Dangerous gonjwa jipya

    yaan mim hata cjawah hata kujiunga huko fb en tank god kaniepusha
  6. M

    Changamoto za Sajuki,kujitambua kwetu na uhusiano wa kinafki

    yaan mpaka machoz yananitoka sajuki huhuyu ndo wa kuwa vile kama kibabu, bongo movie mpo wapi? Sioni sababu ya kuendelea kuigiza maana kazi yao kuelimisha jamii na kuburudisha lakin wanafaidika na nin?
  7. M

    Naweza nikapata uruma UDSM kwa matokeo haya katika sheria

    jaman achen hizo mmpen maelekezo co kumkejeli anahitaji msaada mwenzetu
  8. M

    Majina na Tabia zake

    kina grayce ni wapole na wastaarabu na wanajiheshmu
  9. M

    Kama hujafanya haya wewe haujakaa uswazi. (uswahilini)

    ooh mmesahau hii kushangilia umeme ukirud baada ya kukatika
  10. M

    Makabila ya TZ na sifa zake

    mi mnyakyusa jaman cfa ye2 2najua kupenda ha2jui kuacha, ha ha ha
  11. M

    Ipe maneno hii picha

    mtu acyependa kujikweza
  12. M

    Hi palz

    Am da nyu kama hia xo guyz i jus nd yo spt!
Back
Top Bottom