Mmeanza vibaya,penetration price kwa bidhaa mpya tena mchna 2M?
Angalien wenzenu juz tu wameingza pkpk mpya aina ya hero from india af n ya ukwel kuliko at bm150 wanauza 1.75M tu
Wanahitajika wasichana wawili tu, umri kuanzia miaka 18-25 wenye uzoefu na mambo ya kutembeza na kuuza bidhaa maeneo mbalimbali hapa Dar.
Malipo ni kwa kamisheni,yaani utakavyouza sana ndo utapata sana.
Kwa maelezo zaidi PM
Pole kaka,nimefanya kaz ya kuajiriwa kama mhasibu kwa mwaka m1 hakuna nlichofanikiwa zaid ya kulipa kodi na kununua tv.mwezi wa 1 nimefanya MAAMUZI MAGUMU ya kuacha kazi.nimeachana na utumwa wa kisasa na vyeo vya kijinga ofisini. Nafanya ujasiriamali wangu kwa kutumia mda kdogo then kpato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.